• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea ilivyoshiriki katika Mkutano wa Wanasayansi vijana wa Tanzania

Tarehe ya kuwekwa: August 23rd, 2018

MKUTANO wa Kimataifa wa wanafunzi wanasayansi vijana wa Tanzania (YST) yamefanyika hivi karibuni kwenye ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Juliusi Nyerere jijini Dar es salaam.Tanzania mwaka huu umeshiriki katika maonesho ya nane ya Young Sciencist Tanzania ambapo takribani wanafunzi wa shule za sekondari zaidi ya 100 kutoka mikoa yote nchini wameshiriki.

Manispaa ya Songea imetoa wanafunzi walioshiriki katika maonesho hayo ambapo washindi hupata zawadi mbalimbali ambapo washindi wa mwaka 2017 walikwenda kushiriki katika maonesho ya wanasayansi vijana nchini  Afrika ya Kusini katika mji wa Durban ambako walishinda katika kundi la teknolojia.Washindi hao pia walipata fursa ya kwenda kutembelea kiwanda cha simu nchini Swedeni.

YST ni Taassisi ambayo inayojihusisha na  kufadhili,kuwezesha kufanyika utafiti wa kisayansi kwa vijana katika shule za sekondari ili kuwawezesha walimu kuwasimamia wanafunzi katika utafiti ambapo mawazo ya utafiti yanatakiwa kuibuliwa na wanafunzi wenyewe.

Hata hivyo tafiti hizo za kisayansi kwa wanafunzi ni lazima zilete mawazo mapya na kutatua changamoto zilizopo katika jamii husika.Utafiti umebaini kuwa nchi ya Ireland kwa miaka kadhaa imesaidia vijana wake wanaosoma katika shule za sekondari kufanya utafiti hali ambayo imesababisha vijana wao kukuza vipaji vyao katika Sayansi na teknolojia hivyo kufika mbali katika kutumia tafiti zao ambazo zimesaidia kutatua changamoto mbalimbali katika jamii ndani ya nchi hiyo.

Naamini maonesho haya ambayo yanafanyika kila mwaka yanaweza kuleta mabadiliko makubwa kwa wanasayansi vijana wa Tanzania na kuwafikia wenzetu katika nchi nyingine ambao wamepiga hatua kubwa .

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa