• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea ilivyotekeleza dhana ya Elimu Bila Malipo

Tarehe ya kuwekwa: June 16th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kupitia Mpango wa Serikali wa utoaji wa Elimu bila malipo kuanzia elimu ya msingi na sekondari hadi kidato cha nne   maarufu  kama ‘’elimu bure‘’ imepata mafanikio yafuatayo:

Uandikishaji wanafunzi wa Elimu ya awali umeongezeka kutoka  4,834 mwaka 2015 hadi  7,242 mwaka 2018 sawa na asilimia 112 ya lengo la 6,485,Uandikishaji wanafunzi wa darasa la kwanza umeongezeka kutoka 6,475 mwaka 2015 hadi   7,661 mwaka 2018  sawa na asilimia  118 ya lengo la 6,513 na Ufaulu wa darasa la saba umeongezeka kutoka 62.4 mwaka 2015 mpaka 76.5 mwaka 2018.

Katika kipindi cha  mwaka 2017/2018 hadi  April 2018 Manispaa ya Songea  imepokea fedha za Elimu bure jumla ya Tshs 212,123,161 kwa shule za Msingi ambapo Wanafunzi Walioripoti kidato cha kwanza wameongezeka kutoka  2,584 mwaka 2015 hadi  3,538 mwaka 2018  sawa na asilimia 73.07.Ufaulu wa kidato cha nne  ni asilimia 88 mwaka 2015 na asilimia 84.9 mwaka 2018 na ufaulu wa kidato cha sita umeongezeka kutoka asilimia 97.1 mwaka 2015 hadi 98.1 mwaka 2017.

Hata hivyo  Pamoja na  mafanikio hayo katika elimu,Manispaa ya Songe inakabiliwa na  upungufu wa Walimu wa Sayansi 95 sawa na asilimia 39.1 ikilinganishwa na Mahitaji ya Walimu 243 wa masomo hayo.

Taarifa imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 16,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa