• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea kuzindua Kampeni ya Jiongeze Tuwavushe Salama wiki ijayo

Tarehe ya kuwekwa: August 11th, 2019

Halmashauri ya Manispaa ya Songea inatarajia kufanya  uzinduzi wa kampeni ya jiongeze tuwavushe salama wiki ijayo inayolenga akina mama wajawazito Mkoani Ruvuma.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya  Manispaa ya Songea Dkt. Mameritha  Basike amesema mgeni rasmi katika uzinduzi huo utakaofanyika katika Kata ya Ruvuma, anatarajia kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema.

Kulingana na Dkt.Basike azma ya kuzindua kampeni hiyo ni kutekeleza kampeni hiyo ni  kuwafanya wananchi, watendaji wa serikali,wanasiasa na viongozi wa dini kufahamu afya ya mama na watoto kuwa ndiyo agenda kuukatika Halmashauri ili kupunguza na  kutokomeza kabisa vifo vya akina mama nawatoto chini ya miaka mitano.

Basike amebainisha kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea ni miongoni mwa Hamashauri zinazokumbwa na tatizo la vifo vya akina mama na watoto ambapo ameitaja Kata ya Ruvuma kuwa inaongoza kwa vifo vya akina mama na watoto kwa Mwaka 2018 ambapo  imeripotiwa vifo vya watoto 36, akina mama watatu

Na  akina mama wanaliojifungulia nyumbani ni 32.

Basike ameongeza kuwa uzunduzi huo umepangwa kuzinduliwa katika Kata ya Ruvuma na ametoa wito kwa jamii kuhudhuria ili kuweza kufahamu masuala mbalimbali yanayohusu afya ya mama na mtoto kwa kuwa itatolewa elimu itakayohamasisha akina mama umuhimu wa kuhudhuria klinikina kuhakikisha wanajifungua hospitalini au katika vituo vya afya.

“Zitungwe sheria ndogondogo zitakazotumika kuwaadhibu wasiohudhuria clinic, Baba au Mama akamatwe na ikiwezekana atozwe faini.”Amesema Basike.

Katika hatua nyingine Dkt. Basike ameiomba jamii kujiunga na huduma ya CHF iliyoboreshwa ili waweze kupata matibabu katika vituo mbalimbali vya afya kwa gharama nafuu zaidi katika Manispaa ya Songea,

Sanjari  na hilo  Dkt.Basike ametoa rai kwa jamii  kwa wanajamii kuwatambua wakunga wa jadi waliostaafu ili waweze kuwapatia elimu ya uzazi na kuthamini mchango wa wazee maarufu (mila).

Imeandikwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 9, 2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa