• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yakusanya mapato kwa asilimia 81

Tarehe ya kuwekwa: August 6th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imefanikiwa kukusanya mapato kwa asilimia 81 katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2017/2018.Akizungumza kwenye mkutano wa kufunga mwaka wa Baraza la madiwani la manispaa hiyo  Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Alto Liwolelu amesema tofauti ya makusanyo ni asilimia 19 na kwamba kodi za viwanja ndizo ambazo zimekwamisha makusanyo hayo hali ambayo imesababisha Manispaa hiyo kushindwa kufikia malengo ya kukusanya kwa asilimia 100.

Hata hivyo amesema masoko hayo hayafanyi kazi ndiyo yamekwimisha manispaa hiyo kushindwa kufikia malengo na kwamba katika manispaa hiyo kuna masoko manne ambayo hayafanyikazi  na chanzo chanzo cha makusanyo katika viwanja yalikuwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 400 ambapo katika kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi wamekubaliana kuhakikisha kuwa changamoto zilizopo katika masoko hayo zinatafutiwa ufumbuzi ili yaweze kuanza kufanyakazi na kwamba manispaa inatarajia kuwatambua wafanyabiashara wote kwa kuwapa vitambulisho ili wasikwepe kulipa ushuru.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji ameyataja malengo ya Manispaa hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2018/2019 ni kuhakikisha kuwa mapato ya manispaa ya Songea  yanakusanywa kwa asilimia 100 na kuzuia mianya yote inayosababisha mapato kuvuja na kwamba Manispaa imejipanga kubuni vyanzo vipya vya mapato hali ambayo itawezesha manispaa hiyo kufikia malengo yaliyokusidiwa.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Agosti 6,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa