• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yakusanya mapato ya ndani kwa asilimia 90

Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme  ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea  kwa kufikisha asilimia 90 katika ukusanyaji wa mapato ya ndani hadi kufikia Juni 2019.

Mndeme ametoa pongezi hizo wakati anazungumza katika kikao maalum cha Baraza la madiwani cha kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika kipindi cha mwaka 2017/2018 kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

“Niwapongeze waheshimiwa madiwani,Mkuu wa Wilaya,Mkurugenzi ,wataalam na wadau wengine  kwa kuiwezesha Halmashauri ya Manispaa ya Songea kututoa kimasomaso katika ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa zaidi ya asilimia 90’’.alisisitiza.

Mndeme pia ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa kuweza kuchangia asilimia 100 katika mfuko wa wanawake na vijana na kuweza kuchangia zaidi ya shilingi milioni 176.25 katika mwaka wa fedha wa 2018/2019.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ameipongeza Manispaa ya Songea kwa kuweza kudumu katika hati safi katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2015/2016,2016/2017 na 2017/2018.

Amesema kitendo hicho ni matokeo ya utendaji kazi mzuri wenye mshikamano na ushirikiano kati ya wataalam wa Halmashauri,Mkurugenzi na waheshimiwa madiwani.

Hata hivyo Mndeme amekumbusha kuwa kupata hati safi kusiwafanye watendaji katika Manispaa hiyo kubweteka na kuona wamefika mwisho,badala yake uwe mwanzo wa kujiandaa na ukaguzi katika mwaka mwingine wa fedha.

“Katika Manispaa ya Songea kuna hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali zinazofikia 33 ambazo zinatakiwa kujadiliwa na kuwasilishwa kwa ajili ya uhakiki na hatimaye kufungwa.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali hufanya ukaguzi baada ya mwaka wa fedha kufungwa.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 28,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa