• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SONGEA YAPATA HATI SAFI MFULULIZO

Tarehe ya kuwekwa: July 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Ahmed Abbas Ahmed amewataka wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuacha matumizi ya fedha mbichi (Matumizi mabaya ya fedha).

Kauli hiyo imetolewa kupitia baraza maalum la Madiwani la kujadili taarifa ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali  (CAG)  juu ya hoja ya mapendekezo ya CAG  hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Akisoma hotuba hiyo  Katibu Tawala  wa Mkoa wa Ruvuma Bi Rehema Madenge kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliwapongeza wataalamu wa Manispaa ya Songea pamoja na Madiwani wote kwa kupata HATI SAFI.

Kwa mujibu wa  taarifa ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali kwa hesabu kwa hesabu za fedha kwa mwaka 2022/2023 zimetolewa hoja namapendekezo 33   ambapo hoja zote zenye kustahili  kufungwa zitafutiwe majibu na vielelezo vinavyotakiwa kuwekwa kwenye taarifa na kufungwa hoja hizo kabla ya tarehe 30 Septemba na taarifa ya utekelezaji wa hoja hizo zipelekwe ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.


Alisema,  Manispaa ya Songea iendelee kupata hati safi  kwa miaka miwili ijayo mambo muhimu yanahitaji  kuzingatia ambayo  ni  hakikisheni hoja zote zinafungwa, Kuzuia hoja zisizo za lazima, Wakuu wa Wilaya washirikishwe wakati wa kujibu Hoja, kuchukua hatua za haraka kwa watumishi wanaosababisha hoja kizembe, Afisa Mashuhuri ashiriki kikao cha Hoja bila kukaimisha, Hesabu za mwaka kupitia Benk satatment ziaandaliwe mapema, Fedha zote zinazokusanywa zihakikishwe zinawekwa benk na zitoke kwa utaratibu Maalmu ndipo zianze kutumika ( Fedha Mbichi).

Aidha, Halmashauri iendelee kulipa madeni mablimbali ya zabuni kwa wakati, vikao vya ugazi viendelee kufanyika kwa wakati, kufuatilia vikao vya wadaiwa sugu kupitia vikundi vya wananwake, vijana, na walemavu ambao bado hawajarejesha mikopo yao, kufuatilia huduma ya CHF iliyoboreshwa, Hakikisha mfumo wa GOTHOMISI unafungwa katika vituo vya afya, Wataalamu na Madiwani kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili uendane na thamani ya fedha kwa wahasibu wazembe wenye kuleta ubadhilifu, kulipa satahiki za watumishi wanazodai, Maelekezo yote ya LAAC yatekelezwe na  yafungwe kabla ya kufika vikao vya Serikali za Mitaa.” Amesisitiza “

Kwa upande wake Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali CPA Deogratias Waijaha amewapongeza Manispaa ya songea kwa kupata HATI SAFI, pia amewataka wataalamu hao kufanya kazi kwa weredi kuondoa hoja mbalimbali za kushindwa kukusanya mapato ya vibanda vya Halmashauri pia kuhakikisha wanaondoa madeni ambayo Halmashauri imekuwa ikidai madeni zaidi ya Bil 1.6 pia Manispaa ilikuwa ikidaiwa Mil 485 ambapo amewataka kuendelea kukusanya madeni hayo na kulipa kwa wanaowadai.

Akizungumza Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mhe. Michael Mbano amewataka wataalamu kuhakikisha wanaweka mikakati ya kuondoa hoja za ukaguzi na sio kuwa walimu wa kujibu wa hoja.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa