• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Manispaa ya Songea yapata Naibu Meya

Tarehe ya kuwekwa: August 30th, 2017

Manispaa ya Songea yapata Naibu Meya mpya

HALMASHAURI ya Manispaa  ya Songea iliyopo katika mkoa wa Ruvuma Agosti 2017 imepata Naibu Meya mpya.

Mheshimiwa Yobo Mapunda ambaye ni Diwani wa Kata ya Lilambo amechaguliwa kuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Songea baada ya kuchaguliwa kwa kura za ndiyo 22 kati ya kura 27 zilizopigwa.

Yobo amepata ushindi mkubwa wa asilimia 92 ambapo alipata kura tano za hapana sawa na asilimia nane.

Uchaguzi wa kumchagua Naibu Meya umefanyika katika mkutano wa kufunga mwaka na kuanza mwaka mpya wa serikali wa Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo uliofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mkutano huo ulifunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema ambaye pamoja na mambo mengine aliwapongeza madiwani hao kwa kufanikisha kero mbalimbali zilizokuwa zinawakabili wananchi katika kata zao.

Mheshimiwa Yobo amechukua nafasi ya Mheshimiwa Consolata Chilowoko ambaye ameng'atuka baada ya kumaliza muda wake kisheria wa kuwa Naibu Meya wa Manispaa hiyo.

Akizungumza baada ya kuchaguliwa Yobo amesema yupo tayari kushirikiana kwa karibu na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji ili kuhakikisha wanajenga manispaa ya Songea ambayo inajiandaa na safari ya kuwa Jiji.

Amesema katika kipindi chake cha uongozi atawaunganisha watalaam wa Manispaa ya Songea na madiwani wote ili kumaliza tofauti zilizokuwepo awali ambazo zilikuwa zinarudisha nyuma maendeleo ya Manispaa hiyo kutokana na migogoro katika utendaji baina ya madiwani na watalaam.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa