• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yapokea milioni 616 za elimu bila malipo

Tarehe ya kuwekwa: September 10th, 2018

 KUPITIA Mpango wa Elimu bila malipo katika shule za msingi za Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa mwaka wa fedha 2016/2017 imepokea zaidi ya milioni  616.812  na Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri hadi kufikia Juni imepokea zaidi ya  613. 

Upatikanaji wa fedha hizi umeboresha miundombinu ya madarasa, vyoo, samani, upatikanaji wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia mashuleni na hivyo kufanya kazi ya ufundishaji kuwa rahisi kwa Walimu sawa na asilimia  100 ya utekelezaji wa fedha zilizopokelewa za Elimu Bila malipo.

 Kutokana na ongezeko la usajili wa wanafunzi kwa sasa halmashauri ina upungufu wa madawati 1002. Hata hivyo ili kukabili upungufu huo kwa mwaka huu wa fedha 2018/2019 Halmashauri imetenga zaidi ya shilingi milioni  35.569 Kwa ajili ya kutengeneza madawati 547.

 Manispaa ya Songea kwa mwaka wa fedha  2016/2017 na 2017/2018 imepokea fedha ya mradi wa Lipa kulingana na matokeo (P4R) jumla ya shilingi milioni 415,100,000.00.Kutokana na Mpango wa elimu bure,ufaulu wa wanafunzi kwa darasa la saba umetoka asilimia 64.4 mwaka 2015 na kufikia asilimia 76.5 mwaka 2017. 

Hata hivyo taarifa ya Idara ya Elimu Msingi Katika mwaka 2018 inaonesha kuwa  jumla ya wanafunzi wawili walibainika na kuripotiwa  kuwa na mimba na kwamba  hali ya utoro imepungua kutoka asilimia 0.5 mwaka 2016 hadi asilimia 0.4 mwaka 2017

Halmashauri ya Manispaa ya Songea  ina jumla ya Shule za Msingi 89 na Madarasa ya Awali 89 ambayo yapo katika kila Shule ya Msingi. Shule hizi zina darasa la Awali  hadi darasa la saba zikiwa  na jumla ya wanafunzi 54131 kati yao  wavulana 26,785 wasichana 27,346.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 10,2018




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa