• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yasaini Mkataba wa uendeshaji wa mradi wa Bustani

Tarehe ya kuwekwa: September 13th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Septemba 13,2018 imesaini mikataba minne ukiwemo mkataba wa uendeshaji wa Bustani ya Manspaa ya Songea ambao umesainiwa baina ya Halmashauri ya Manispaa na Mwendeshaji aliyeshinda zabuni anayeitwa Neema Kajange.

Hafla ya kusaini mikataba hiyo imefanyika katika ofisi ya Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassani Mshaweji mbele ya wanahabari.

Mkataba wa uendeshaji wa bustani ya Manispaa ya Songea ni wa shilingi milioni 15 ambao utafanyika katika kipindi cha miezi kumi ambapo Mwekezaji ataendesha shughuli mbalimbali  ikiwemo hoteli,choo na mchezo wa bembea.

Kwa mujibu wa Mwekezaji,bustani hiyo inafunguliwa rasmi Jumatatu ya Septemba 17,2018 na kwamba uzinduzi rasmi wa bustani unatarajia kufanyika Oktoba 27,mwaka huu katika viwanja vya bustani hiyo.

Mkataba wa pili ambao umesainiwa baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Kampuni ya STUMAK ENGINEERING CO.LTD ya Songea unahusu ujenzi wa kituo cha kutolea huduma za afya(CTC)  katika kituo cha afya Mjimwema.Mkataba huo ni wa siku 30 wenye thamani ya shilingi milioni 29,673,311.32.

Mkataba wa tatu ni wa ununuzi wa mashine ya kuchapisha  ramani (PLOTTER MACHINE) ambao umesainiwa baina ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Kampuni ya DON TECHNOLOGIES LTD ya Songea kwa siku 45 wenye thamani ya shilingi milioni 28,900,000.00

Mkataba wa nne ambao umesaini ni kati ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea na Robert Mgowole unaohusu uendeshaji wa choo cha soko la Manzese B wenye thamani ya shilingi milioni 3,600,00.00 katika kipindi cha miezi 10.

Akizungumza mara baada ya kusainiwa kwa mikataba hiyo,Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji amewaasa wote waliosaini mikataba hiyo kufanyakazi kwa ufanisi kwa sababu Manispaa ya Songea hivi sasa ipo katika mchakato wa kutoka katika Halmashauri ya Manispaa ya kuingia katika Halmashauri ya Jiji.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 13,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa