• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea yatenga milioni 150 kujenga zahanati

Tarehe ya kuwekwa: April 18th, 2019

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea katika kipindi cha mwaka 2018/2019 imetenga shilingi milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati,ununuzi wa vifaa vya afya na ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo amesema Mpaka kufikia Machi,2019  zaidi ya shilingi milioni 58 zimepelekwa katika kutekeleza miradi mbalimbali ya afya.

Ameitaja miradi hiyo kuwa ni ujenzi wa zahanati ya makambi katika kata ya Ndilimalitembo,ujenzi wa zahanati ya Sinai katika kata ya Lilambo,ujenzi wa Zahanati ya Lupapila katika kata ya Subira na ujenzi wa Zahanati ya Seedfarm katika kata ya Seedfarm.

Katika hatua nyingine Sekambo amesema Halmashauri imeendelea kuhakikisha upatikanaji wa chanjo mbali mbali za watoto na mama wajawazito kama vile chanjo za kukinga kifua kikuu, ugonjwa wa kupooza, kukinga magojwa ya pepopunda, donda koo, homa ya ini na kifaduro,Vichomi, uti wa mgongo, na Surua.

“Hali ya utoaji wa chanjo ni nzuri kwani chanjo ya Penta 3 ambayo ndiyo kigezo cha mpango wa chanjo kitaifa tumefikia asilimia 96.2, lengo la kitaifa ni kufikia asilimia 90. Kiwango cha utapiamlo mkali ni asilimia 0.1 na utapia mlo usio mkali ni asilimia 4.1’’,alisema Sekambo .

Hata hivyo amesema Kuanzia mwanzoni mwa  Januari 2018 hadi sasa hakuna upungufu wa chanjo katika  Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Aprili 18,2019

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa