• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YASAINI MKATABA WA MILIONI 610

Tarehe ya kuwekwa: October 27th, 2017

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imesaini Mkataba wa ukusanyaji wa ushuru wa mazao wa shilingi milioni 610 na kampuni ya WOFMAIZE ya Songea.

Makubaliano ya kusaini Mkataba huo yamekamilika Oktoba 24 mwaka huu katika Ofisi ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji, yakishuhudiwa na  wawakilishi wa Kampuni ya WOFMAIZE pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Eng.Samwel Sanya.Kampuni hiyo itahusika na ushuru wa mazao ya vyakula vilivyosindikwa na visivyosindikwa katika maeneo ya SODECO,Manzese na maeneo mengine ya Manispaa ya Songea.

Mkataba huo ni wa miezi tisa ambao unaanza Oktoba 2017 hadi Juni 30,2018 ambapo kampuni ya WOFMAIZE  italipwa asilimia 15 ya makusanyo yote katika kipindi hicho ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 90.Akizungumza mara baada ya kusaini Mkataba huo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea ameipongeza kampuni hiyo kwa kushinda zabuni ya ukusanyaji ushuru ambapo ameitaka Kampuni kukusanya ushuru kwa uaminifu kwa kuwa Manispaa ya Songea bado inategemea kupata mapato kupitia ushuru wa mazao.

Mkurugenzi wa WOFMAIZE Wofram Mlowe ameahidi Kampuni yake kufanyakazi kwa uaminifu mkubwa ili kufikia malengo ya kukusanya milioni 610 au zaidi katika kipindi cha miezi tisa.Manispaa ya Songea imeamua kusaini makubaliano ya mkataba kwa ajili ya ubinafsishaji wa vyanzo vya mapato katika kipindi cha mwaka 2017/2018 lengo likiwa kukusanya mapato kwa zaidi ya asilimia 100.

Taarifa Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa