• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA yatoa milioni 116 kuwawezesha wanawake

Tarehe ya kuwekwa: June 14th, 2018

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imekuwa na utaratibu wa kuwezesha vikundi vya Wanawake na Vijana kujiongezea kipato kwa kukopeshwa kutoka katika fedha za mapato ya ndani.

 Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kwa kutumia mapato ya ndani Halmashauri ya Manispaa ya Songea ilitoa jumla ya shs. 88,800,000.00 ambazo zilikopeshwa vikundi 128 vyenye wanufaika 1992, kati ya hao wanawake ni 1394 na vijana 598, vikundi vya wanawake  82 vilikopeshwa shs.59,800,000.00 na vikundi vya vijana 46 vilikopeshwa shs. 29,000,000.00 na hadi kufikia mei, 2018 marejesho ya mkopo huu ni jumla ya shs. 50,000,000.00

Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018 Halmasahuri ya Manispaa ya Songea ilipanga kutumia jumla ya shilingi 169,768,620.00 kwa ajili ya Kukopesha vikundi 100 vya wanawake na vikundi 77 vya vijana.

 Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa kipindi cha Julai, 2017 hadi Machi 2018 ilikopesha jumla ya shs. 116,000,000.00 kwa jumla ya vikundi 102, vyenye wanufaika 1,323 vikundi vya wanawake 87 vilikopeshwa shs. 101,100,000.00 wanufaika 1,131 na vikundi vya vijana 15 vilikopeshwa shs. 14,900,000.00 wanufaika 192.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka huu Charles Kabeho akiwa katika Manispaa ya Songea amezindua  utoaji wa Mkopo wa shs. 60,000,000.00 ambao ulitolewa kwa vikundi 32 vya Wanawake shs.44,000,000.00  vyenye wanufaika 461 na  Vikundi  10 vya Vijana shs. 16,000,000.00 vyenye wanufaika 187 na kufanya jumla ya wanufaika 648, ambao wamekwisha patiwa mafunzo ya ujasiriamali na maelekezo ya urejeshaji wa mikopo hii.

Taarifa imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Juni 14,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa