• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAONESHO ya Viwanda na Uwekezaji kufanyika mkoani Ruvuma kuanzia Julai 24 hadi 26

Tarehe ya kuwekwa: July 16th, 2019

MAONESHO ya viwanda na uwekezaji katika Mkoa wa Ruvuma yanatarajia kufanyika kwa siku tatu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea kuanzia Julai 24 hadi 26 mwaka huu.

Akizungumza katika kikao cha maandalizi ya tamasha hilo ngazi ya Wilaya ya Songea kilichofanyika kwenye ukumbi wa Songea Klabu,Mkuu wa Wilaya hiyo Pololet Mgema  amesema mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ambaye anatarajia kuzindua tamasha hilo Julai 25 mwaka huu.

Amesema Waziri Mkuu anatarajia kuzindua Mwongozo wa uwekezaji katika Mkoa wa Ruvuma ambao umeandaliwa na wasomi ukionesha furs azote za uwekezaji na utalii zilizopo katika Mkoa wa Ruvuma na kwamba baada ya uzinduzi huo Mwongozo utasambazwa ndani nan je ya nchi kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kihabari ili kuzitangaza fursa hizo kitaifa na kimataifa.

“Mkoa wa Ruvuma umekusudia kufanya maonesho ya viwanda na uwekezeshaji ili kuuweka Mkoa katika Ramani ya fursa mbalimbali za viwanda,uwekezaji na kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo katika Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma’’,alisisitiza Mgema.

Amesema serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekusudia kufungua milango ya uwekezaji na kutangaza fursa za utalii katika mikao saba ya kusini ambayo ni Ruvuma, Rukwa, Songwe,Katavi,Mbeya,Njombe na Iringa.

Kulingana na Mkuu huyo wa Wilaya Kongamano hilo la viwanda na uwekezaji litashirikisha Kampuni mbalimbali,Taasisi na wajasirimali wengine kutangaza shughuli zao hivyo kusababisha wawekezaji wengi ndani na nje ya nchi kuwekeza katika Mkoa wa Ruvuma.

Ametoa rai kwa Halmashauri zote mkoani Ruvuma kutumia maonesha hayo kubainisha maeneo ya viwanda,uwekezaji na utalii ili yafahamike na wawekezaji waweze kufika na kuwekeza hali ambayo itakuza uchumi na kuongeza ajira kwa vijana.

“Serikali ya Awamu ya tano imejitahidi kuboresha miundombinu ya barabara,viwanja vya ndege na majini hivyo ni vema sasa kuzitangaza furs azote zilizopo katika Mkoa wa Ruvuma ili kuwakaribisha wawekezaji.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Serikalini Manispaa ya Songea

Julai 15,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa