• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MEYA asisitiza mfumo wa kisasa unufaishe Wajasiliamali

Tarehe ya kuwekwa: January 22nd, 2018

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaji Abdul Hassan Mshaweji amewaasa watalaam kuondoka katika mfumo wa uendeshaji wa vikundi wa zamani na kuingia katika mfumo mpya ambao unazingatia sayansi, teknolojia, utawandawazi na soko huru.

Anasema mfumo mpya wa mikopo kwa wajasirimali wadogo utakuwa na manufaa kwa walengwa na wateja wao hasa katika soko huru ambalo linaushindani mkubwa na kwamba njia pekee ya kupambana na soko huru ni Sayansi na teknolojia.

“Ili kuhakikisha biashara zenu zinafanyika vizuri ni lazima mzingatia ubora wa bidhaa mnazozalisha,bei,eneo la biashara,aina ya wateja wako na kuitangaza biashara yako ili wateja waweze kufahamu na kununua’’,anasema Mshaweji.

Mstahiki Meya pia amewakumbusha wajasirimali wadogo kuwa na tabia ya kuweka akiba mara kwa mara,kukopa kwa busara na kulipa na kufanya marejesho ya mikopo kwa wakati ili iweze kukopeshwa kwa vikundi vingine.

Anasisitiza kuwa bila marejesho kwa wakati,Halmashauri haitakuwa na uwezo wa kutoa mikopo mingine kwa vikundi vingine hivyo anatoa rai kwa vikundi hivyo kubadilika kwa kurejesha mikopo ili iwanufaishe wengine.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mhandisi Samwel Sanya anasisitiza kuwa kila mwak Manispaa itaendelea kutenga asilimia kumi ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kutoa mikopo katika vikundi vya wajasirimali wadogo vya vijana na wanawake.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa