• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MGANGA MKUU MANISPAA YA SONGEA AMEWATAKA WANANCHI KULIMA MAHINDI LISHE.

Tarehe ya kuwekwa: November 16th, 2021

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

16.11.2021

Mganga mkuu Manispaa ya Songea Dkt. Amos Mwenda amewataka maafisa kilimo kutoa elimu ya kilimo cha mahindi lishe kwa wananchi na kamati za shule.

Hayo yamebainishwa katika kikao cha lishe kilichofanyika hapo jana tarehe 15 Novemba 2021 kwa lengo la kufanya mapitio ya utekelezaji wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 na kupanga bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023.

Mwenda alisema katika kutekeleza afua za lishe Manispaa ya Songea imefikia hatua nzuri ukilinganisha na kipindi cha nyuma kwa kuzingatia viashiria vinavyotekeleza ambapo hali ya udumavu imefika asilimia 33.5%, hata hivyo elimu inaendelea kutolewa kwa jamii ili kuondoa hali ya utapiamlo mkali uliopo asilimia 0.1%.

Alisema Manispaa ya Songea imeweka mkakati wa kukabiliana na changamoto za afua za lishe ambazo ni pamoja na maafisa kilimo kuendelea kutoa elimu ya matumizi ya mahindi  lishe kwa wananchi na kamati za shule ili jamii iweze kupata uelewa wa kilimo cha mahindi lishe ambao utasidia wazabuni waweze kupata mahindi lishe ya kutosha na kupeleka mashuleni.

Aliongeza kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea hutenga kwenye bajeti shilingi 1000 kwa kila mtoto ambapo katika mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri ya Manispaa ya Songea imetenga shilingi 1900 kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano.

Naye Afisa lishe Manispaa ya Songea Frolentine Kissaka amewataka wataalamu wa afya  kuendelea kufanya ufuatiliaji, simamizi shirikishi pamoja na kuwajengea uwezo wataalamu hao mahali pa kazi katika vituo vyote vvya kutolea huduma za afya na katika ngazi ya jamii.

Alieleza kuwa lishe ni pamoja na ulaji unaofaa ambao ni muhimu kwa afya ya lishe ya binadamu wote ambapo ulaji huo uzingatie ulaji wa chakula mchanganyiko na cha kutosha kinachopatikana kwa gharama nafuu katika mazingira yetu.

“Suala la lishe ni mtambuka siyo la idara ya afya pekee, kwahiyo sekta zote mtambuka zinajukumu la kupanga na kutekeleza afua za lishe ikiwa na lengo la kupambana na tatizo la utapiamlo kiwilaya” Kissaka alihitimisha.

Mwisho.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa