• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MH. DIWANI WA KATA YA BOMBAMBILI NA WANANCHI WAKE KUSHIRIKI MAOMBOLEZO.

Tarehe ya kuwekwa: March 26th, 2021

Naibu Meya manispaa ya Songea Jeremia Mirembe ambaye pia ni Diwani wa kata ya Bombambili ameungana na wananchi wa kata  ya Bombambili  katika kufanya  maombolezo ya kifo cha Rais Dkt.  John Pombe Magufuli  ambaye alifariki tarehe 17.03.2021 na kuzikwa 26/03/2021 Chato Mkoani Geita.

Jeremia amefanya maombolezo hayo leo 26.03,2021  katika ukumbi wa ofisi ya kata Bombambili yaliyohudhuriwa na wananchi mbalimbali, viongozi wa vyama vya siasa  kata/ wilaya  na vongozi wa dini kwa lengo la kuunga mkono maombolezo ya kifo cha Rais Dkt. John pombe Magufuli.

 Jeremia alisema Kifo cha Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni pigo kubwa kwa Taifa letu kutokana na mambo mengi mazuri  aliyoyafanya katika kipindi  cha uongozi wake ikiwemo na kutuunganisha kuwa kitu kimoja.

Alisema amefunga luninga hiyo ukumbini hapo kwa lengo la kuwasaidia wananchi wenye mapenzi mema ambao wanahitaji kuangalia luniga ili waweze kushiriki mazishi kama chato.

Amewata wananchi hao kuendelea kufanya maombolezo kwa kupitia  jumuyia za dini mbalimabli  au  nyumba za ibada ili kumuombea kiongozi wetu jemedali, na  mtetezi wa wananchi wanyonge.

Naye mwenyekiti wa CCM kata Bombambili Omary Nchimbi amewataka wananchi kulinda na kutunza yale yote yaliyofanywa na kiongozi huyo na pia na  iwe mfano wa kuigwa.

Naye mwenyekiti wa UVCCM Songea mjini Kelvini K. Chale alisema hayati Rais  Dkt. John Pombe Magufuli  alikuwa kiongozi mpenda haki, muwazi, mchapakazi, mtetezi wa wanyonge na alichukia ufisadi.

Nao wananchi wa kata ya Bombambili wakizungumza kwa wakati tofauti ambapo  walisema hayati Dkt. John Pombe Magufuli atakumbukwa kwa mambo mengi mazuri   kama kupokea kero na kuzitolea ufumbuzi hapohapo, ujenzi wa barabara iendayo bombambili -  mwembechai ambayo imekamilika na inatumika.

iMEANDALIWA 

AMINA PILLY.                                                                                                                    

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.    

26.03.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa