• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIL 45 ZATOLEWA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA, NA MAKUNDI MAALMU MANISPAA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: June 8th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amewaasa Wajasiliamali wadogo kutumia mikopo yao Vizuri ili  kuinua mitaji ya Biashara zao pamoja na  kukuza kipato.

Pololet amesema hayo katika kikao cha  Wanavikundi Wajasiliamali Wanawake, Vijana, pamoja na Makundi Maalum katika zoezi la Ugawaji wa Mikopo kwa Vikundi 26  kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea leo 08/06/2020.

Alisema”Lengo la kugawa Mikopo Tsh 45 mil  kwa Wanavikundi  ni kuwajengea Uwezo wa kufanya shughuli za Ujasilimali na kuinua kipato cha jamii ya Manispaa ya Songea. Aliongeza kuwa Mkopo huo ni Fedha  Asilimia 10%  ya Makusanyo ya mapato ya ndani  kwa mchanganuo wa  4% Wanawake, 4% Vijana, 2% makundi maalum.”

Awali fedha hizo zilikuwa zikitolewa kila baada ya miezi mitatu, lakini kuanzia sasa Manispaa ya Songea itaendelea kutoa Mikopo kwa wanavikundi kila Mwezi, hivyo nilazima zirudishwe fedha hizo kwa wakati ili waweze kukopeshwa wanavikundi wengine wenye sifa.

Alifafanua kuwa” Mikopo inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Songea  kwa Vikundi haina Riba, Hivyo mnapaswa kufanya marejesho kwa wakati ili muwezez kukopeshwa tena. Alisema hatutaki Wajasiliamali ambao hawabadiliki kiuchumi bali tunahitaji Wajasiliamali ambao wataleta mabadiliko  Kiuchumi.” Alisisitiza.

Alisema Mikopo kwa Vikundi ni Bora kuliko Mkopo  wa mtu mmoja mmoja kwasababu vikundi husaidia kushirikiana kimawazo, kupeana uzoefu na kujenga uaminifu.

Naye Mkurugenzi Manispaa ya Songea Tina Sekambo akiwakilishwa na Afisa Maendeleo ya Jamii manispaa ya Songea Judith Ngowe alisema “ Chanagamoto kubwa inatokana na baadhi ya wanakikundi kutorejesha Mikopo kwa wakati. Hata hivyo, alibainisha baadhi ya mikakati waliyojiwekea ili kukabiliana na changamoto hiyo ni pamaoja na  kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wasiorejesha Mikopo hiyo.

IMEANDALIWA NA; 

AMINA PILLY

KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa