• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIL. 500 FEDHA ZA MAPATO YA NDANI ZA JENGA SHULE " KAMATI YA SIASA MKOA YAPONGEZA"

Tarehe ya kuwekwa: October 9th, 2023

Komredi Oddo Mwisho Mwenyekiti wa CCM  Mkoa wa Ruvuma amewataka viongozi na Wataalamu Manispaa ya Songea  kulinda rasilimali za shule ili miundombinu ya shule hizo iweze kudumu na kutumika  kwa muda mrefu.

Alisema  Manispaa ya songea imekuwa ikiendeleza rekodi nzuri ya kujenga miundombinu ya Afya na Elimu kwa kutumia fedha  za mapato ya ndani ambapo kwa mwaka 2022 Manispaa ya Songea walijenga kituo cha Afya kata ya Lilambo kwa gharama ya Mil 500 ambacho kimeanza kutoa huduma.

Aidha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 Manispaa ya Songea imeweza kujenga Shule mpya ya mchepuo wa kiingereza kwa gharama ya Mil. 500 ambayo inatarajia kukamilika ifikapo mwezi Novemba 2023 na kupokea wanafunzi kwa mwaka mpya wa masomo 2024.

Hayo yamejiri wakati wa ziara ya kamati ya Siasa Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika  tarehe  08 Oktoba 2023 ambayo waliweza kukagua na kutembelea jumla ya miradi mitano 5 yenye thamani ya shilingi 2,791387,467.00  ambapo kiasi cha 2,291,387,467.00 ni fedha za serikali kuu na kiasi cha 500,0000,0000.00 ni fedha za mapato ya Ndani ya Halmashauri.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa  Kituo cha Afya Mletele ambacho kilipokea fedha kiasi cha Shilingi 545,334,640.00 kutoka Global Fund ambapo  Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, ujenzi wa shule ya Lawrance Gama  kwa thamani ya Mil. 560,552,827/=  ambao ni miongoni mwa shule zilizonufaika na mradi wa Uimarishajaji wa Miundombinu ya Elimu Sekondari (SEQUIP) ambao upo hatua ya 60%.

Aidha, miradi mingine ni ujenzi wa shule ya msingi  ya mchepuo wa kiingereza  Chifu Zulu (Chief Zulu Academy) inayojengwa kwa gharama ya Mil. 500 fedha za mapato ya ndani  iliyopo kata ya Mshangano ambao utakijikita katika tekinolojia ya tarakinishi (Computer Technology) ambayo imelenga kuwasaidia watoto na wazazi wanaohitaji huduma ya shule bora zenye mfumo kwa gharama nafuu.

Ujenzi wa  madarasa manne, na mabweni mawili 2 katika shukle ya wasichana Songea kwa gharama ya Mil. 280,000,000.00 fedha za mradi wa SEQUIP 2022, pamoja na ujenzi wa madarasa 10, mabweni 4,  na matundu 15 katika sekondari ya Emmanuel Nchimbi kwa kiasi cha Tsh Mil 905,500,000 fedha kutoka Serikali kuu.

Kwa upande wake Mstahiki Meya Manispaa ya Songea alisema baraza la Madiwani walitenga bajeti ya Mil. 500  kwa ajili ya kujenga shule ya mchepuo wa kiingereza ambayo itaendeshwa kwa gharama nafuu na itawezesha kuongeza mapato ya Halmashauri.

Imeandaliwa na              

AMINA PILLY,

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI - SONGEA  MC

 




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa