• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MILIMA na visiwa Nyasa kuwa hifadhi za wanyamapori

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2018

MILANGO ya utalii mwambao mwa ziwa Nyasa mkoani Ruvuma inaendelea kufunguka ambapo sasa serikali  inatarajia kuanzisha bustani ya wanyamapori katika Milima miwili na visiwa viwili vilivyopo wilayani Nyasa mkoani Ruvuma.

 Afisa wa Maliasili na Utalii wa Mkoa wa Ruvuma Afrikanus Challe anasema mchakato wa kuendeleza Hifadhi ya mlima Mbamba(Mbamba hill) iliyopo mjini Mbambabay na hifadhi ya mlima Tumbi iliyopo kijiji cha Ndengere ni maagizo ya Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe ambaye aliagiza Nyasa iwe kitovu cha utalii kusini.

 Challe anabainisha kuwa Mbamba Hill  imeunganishwa na kisiwa kinachoitwa Zambia ambacho kipo meta 300 toka ufukweni mwa ziwa Nyasa na kwamba kisiwa hicho kina utajiri wa  samaki wa mapambo ambao ni kivutio cha watalii.

 Anasema Mbamba Hill tayari imepimwa na kubainika ina ukubwa wa hekta 420 na kwamba bajeti ya kujenga uzio kuzunguka Mbambabay Hill imepitishwa na kwamba ujenzi unatarajia kuanza wakati wowote fedha zitakapoletwa na kwamba mara baada ya ujenzi wa uzio kukamilika wanyamapori wa aina mbalimbali wanatarajia kuwekwa.Challe anasema mara baada ya kukamilisha mradi wa hifadhi wa Mbambabay na kisiwa cha zambia,mradi utakaofuata ni mlima wa hifadhi wa Tumbi,uliopo kijiji cha Ndengere ambao  utaunganishwa na kisiwa cha Lundo chenye ukubwa wa kilometa za mraba 20  hivyo kuwa na hifadhi mbili ambazo zimeunganishwa na visiwa viwili.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa