• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 22 zakamilisha maabara sekondari ya Matogoro

Tarehe ya kuwekwa: June 28th, 2018

JUMLA ya shilingi milioni 22 zimetumika kwa ajili ya kukamilisha maabara katika shule ya sekondari ya Matogoro iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Mkuu wa shule hiyo Ezra Mwogela amebainisha kuwa kati ya fedha hizo,shilingi milioni 17 zimetumika kwa utengenezaji na uwekaji wa samani za maabara na shilingi milioni tano zimetumika kwa ajili ya ukarabati wa maabara.

Amezitaja shughuli ambazo zimefanyika kwa shilingi milioni 17 kuwa ni kutengeenza meza 16 za wanafunzi,kutengeneza meza mbili za nyuma(back table),kutengeneza stuli 50 za maabara na kuweka mfumo wa maji safi na taka.

Kazi nyingne zilizofanyika kwa mujibu wa Mwogela ni kuingiza umeme katika maabara,kusakafia mfereji wa maji safi na maji taka,kutengeneza vifuniko vya mifereji ya maji safi na taka na kuchimba na kujenga shimo la maji safi na taka.

“Shilingi milioni zimetumika kuweka jipsum vyumba viwili vya maabara,kupaka rangi katika vyumba viwili vya maabara,kufunga shata vyumba viwili vya maabara,kumalizia ujenzi wa chumba cha ofisi ya maabara,kusakafia na kupiga lipu chumba cha ofisi ya maabara,kutengeneza grili za milango na kutengeneza ngazi maalu kwa wenye ulemavu’’,anasema Mwogela.

Kulingana na Mkuu huyo wa shule,kazi ya ujenzi wa maabara imefanyika kwa asilimia 98 ambapo amemshukuru Rais Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha kwa ajili ya maabara ya shule hiyo.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manipaa ya Songea

Juni 28,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa