• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 325 kujenga madarasa na mabweni Songea Boys

Tarehe ya kuwekwa: July 5th, 2018

SHULE ya sekondari ya wavulana Songea (Songea Boys) iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imewekwa katika mpango wa kuletewa kiasi cha shilingi milioni 325 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa matano na mabweni matatu.

Timu ya wataalam wa Manispaa ya Songea ikiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo imetembelea shule ya sekondari ya wavulana Songea, eneo ambalo litajengwa madarasa matano na mabweni matatu.

Mhandisi wa Ujenzi katika Manispaa ya Songea Karoline Bernad amesema kati ya fedha hizo,shilingi milioni 100 zitatumika kujenga madarasa matano na matengenezo ya viti na meza 40 kila darasa ambapo jumla ya shilingi milioni 20 zinatarajia kutumika.

Kulingana na Mhandisi huyo,jumla ya shilingi milioni 225 zitatumika kujenga mabweni matatu yenye uwezo wa kulaza wanafunzi 80 kila bweni na vitanda 40 (double decker) kwa kila bweni na kwamba  kila bweni zitatumika shilingi milioni 75.

“Fedha hizi zitakavyoingia,zitapelekwa moja kwa moja shuleni,ujenzi huu utatumia force Account kwa mujibu wa maelekezo ya serikali,wahusika wakuu wakiwa ni Bodi ya shule’’,anasisitiza Bernad.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari katika Manispaa hiyo, Devota Luwungo,Bodi ya shule ya sekondari hiyo Juni 21 imepewa mafunzo elekezi na kusisitiza kuwa ujenzi wa madarasa hayo na mabweni unaanza mara moja mara baada ya fedha kuingia kwenye akaunti.

Amesisitiza kuwa hadi kufikia Agosti 30 mwaka huu,wanatarajia ujenzi wa madarasa na mabweni hayo utakuwa umefikia katika hatua za ukamilishaji na kwamba hivi sasa maandalizi ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali zilizopo katika Manispaa ya Songea yanaendelea .

Anazitaja shule za sekondari za serikali za kidato cha tano zilizopo katika Manispaa ya Songea  ambazo zinapokea wanafunzi kuwa ni Songea Girls,Songea Boys, Londoni, Msamala na Emanuel Nchimbi.

Serikali kupitia TAMISEMI imetenga shilingi bilioni 29 katika Halmashauri zote nchini ili kujenga miundombinu ya shule yakiwemo madarasa 478 na mabweni 269 ili kuhakikisha wanafunzi wote zaidi ya 20,000 waliokosa nafasi ya kupangiwa kidato cha tano,wanapata katika awamu ya pili.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 5,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa