• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: August 3rd, 2019

UJENZI  wa kituo kikuu cha mabasi unafanyika katika eneo lenye ukubwa wa hekari 15 lilipo katika Kata ya Tanga kilomita 12 toka katikati ya Manispaa ya  Songea.  Ujenzi wa kituo kikuu cha mabasi Songea, ulianza tarehe 25/03/2018 na unatarajiwa kukamilika tarehe 30/09/2019. Ujenzi unafanywa na Mkandarasi CHINA SICHUAN INTERNATIONAL CORPORATION (SIETCO) na kusimamiwa na Mhandisi  Mshauri  BUREAU FOR INDUSTRIAL CORPORATION (BICO) ambao ni Chuo kikuu cha Dar –es- salaam.  Mpaka sasa mradi kwa ujumla umefikia asilimia 82 ya utekelezaji

  Mradi huu mpaka kukamilika utagharimu jumla ya Tshs 6,189,340,930. Mpaka sasa Mkandarasi amelipwa kiasi cha Tshs 2,736,965,106.20 ikiwa ni pamoja na malipo ya awali (Advance payment).   Gharama za Mhandisi  mshauri ni 319,571,801.60 kati ya  fedha  hizo amelipwa Tshs 180,748,637.51

Mradi mwingine ambao unatekelezwa ni Ujenzi wa barabara km 10.3 kiwango cha lami nzito. Ujenzi wa  barabara hizi  ulianza  tarehe 01/07/2015 na ulitakiwa kukamilika tarehe  30/06/2017. Mradi huu umetekelezwa na Wakandarasi  wawili, mara ya kwanza ujenzi ulifanywa na Mkandarasi M/S Lukolo Company  LTD aliyeingia mkataba na Halmashauri wa kujenga KM 8.6 za barabara kwa kiwango cha lami nzito kwa gharama ya Tshs 14, 320,586,464.39 ikijumlishwa na VAT. Gharama hiyo ya mkataba  ilifanyiwa mapitio(revised contract ) na kufikia Tshs 11,933,899,897.09 ikijumlishwa na VAT.  Muda wa Mkataba ulikuwa ni miezi 24, ambapo  mkataba ulivunjwa tarehe 09/10/2017 baada  ya Mkandarasi kushindwa kukamilisha kazi kwa wakati kulingana na mkataba.

Ujenzi wa barabara mara ya pili, ulianza tarehe 25/03/2018 baada ya kazi kutangazwa upya na kumpata mkandarasi CHINA SICHUAN INTERNATIONAL CORPORATION (SIETCO) ambaye anatekeleza mradi kwa kasi inayokubalika na sasa unatarajiwa kukamilika tarehe 30/09/2019.

Mradi  huu mpaka kukamilika utagharimu jumla ya Tshs 13,164,965,966  Mpaka sasa  kiasi cha fedha  kilicholipwa ni  Tshs   6,038,006,039.65na  gharama ya Mhandisi mshauri  ni Tshs    337,000,000   kati ya fedha hizo amelipwa 159,500,000.00.

  Mpaka sasa mradi kwa ujumla umefikia asilimia 85 ya utekelezaji ambapo, barabara  ya FFU – Matogoro yenye urefu wa 3.2KM imewekwa Lami nzito (Asphalt Concrete) na barabara zilizobaki zipo kwenye   hatua ya kuweka tabaka la kokoto(CRR). Mifereji imejengwa katika baadhi ya barabara na kazi ya kujenga inaendelea.

Mradi mwingine ni  Ujenzi wa Kituo cha Afya Kata ya Ruvuma.Ujenzi wa kituo cha Afya Ruvuma ulianza 24/07/2018 na unafanyika kupitia mafundi wadogo. Mradi wa huu hadi kukamilika utaghalimu shilingi 400,000,000 mapaka sasa  mradi umefikia asilimia 99.M majengo yote manne ambayo ni  Wodi ya akina mama, Maabara, jengo la mapokezi na jengo la upasuaji yamekamilika kazi za ukamilishaji milango  zinaendelea.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa