• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MJI WA SONGEA ULIANZISHWA MWAKA 1897

Tarehe ya kuwekwa: October 23rd, 2017

MJI wa Songea uliopo katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,ulianzishwa mwaka 1897 kama Kituo cha Kijeshi cha Kijerumani,mji huo ulikuwa Makao makuu ya utawala wa wakoloni wa kijerumani na wilaya ya Songea.

Tangu wakati wa utawala wa kikoloni hadi sasa Mji wa Songea umeendelea kuwa makao makuu ya mkoa wa Ruvuma.Mji wa Songea una umaarufu wa mashujaaa waliopigana vita vya Majimaji kati ya mwaka 1905 hadi 1907 ambapo mashujaa 67 walinyongwa mwaka 1906 na kuzikwa katika kaburi moja ambapo Nduna Songea Mbano(Picha ya kwanza kushoto iliyopigwa na wajerumani mwaka 1906 muda mchache kabla ya kunyongwa).

Songea Mbano ambaye mji wa Songea umepewa jina lake, kutokana na umaarufu wake ,alinyongwa na kuzikwa katika kaburi la pekee yake eneo la Mashujaa wa Majimaji Mahenge mjini Songea.

Mji wa Songea ulizinduliwa rasmi kuwa mji wa kihistoria,kishujaa na kiutalii mwaka 2010.Mji huo ni miongoni mwa miji michache nchini yenye hazina kubwa ya utajiri wa historia ya utajiri katika nchi yetu.Manispaa ya Songea inakadiriwa kuwa na idadi ya watu 260,106 wakiwemo wanaume 124,340 na wanawake 137,171 kutokana na ongezeko la asilimia 4.4 kwa mwaka.

Manispaa ya Songea yenye mitaa 95 na kata 21 ina jumla ya kaya 61,930 kwa wastani wa watu 4.2 katika kila kaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Manispaa ya Songea Yapata Hati Safi kwa Miaka 5 Mfululizo.

    June 13, 2025
  • Wasira Amewataka Wananchi Kulinda Amani ya Taifa.

    June 13, 2025
  • Tazama zote

Video

SONGEA MC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 5 MFULULIZO
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa