• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKAKATI WA UBORESHAJI WA MASOKO "MANZESE A NA B" KWA KUSHIRIKISHA WANANCHI.

Tarehe ya kuwekwa: March 12th, 2022

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

12 MACHI 2022.

“Halmashauri ya Manispaa ya Songea ina jumla ya masoko 11, kati ya masoko hayo ni masoko 7 ambayo yanatoa huduma ambapo miongoni mwa masoko hayo ni pamoja na soko la Manzese A na Manzese B ambayo yanatarajia kuboreshwa miundombinu yake kupitia mradi wa kuboresha miundombinu na utendaji kazi ndani ya Halmashauri za Miji (TACTIC)”.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko katika kikao kazi cha mapitio ya utekelezaji wa miradi ya TACTIC, kilichofanyika hapo jana tarehe 11 Machi 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Kwa upande wake Mhandisi na Mtaalamu wa mipango miji kutoka Benki ya dunia nchini, Eng. Fredrick Manase Nkya alisema kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea ni miongoni mwa wanufaika wa mradi huo kati ya Halmashauri za miji 12 katika kipindi cha awamu ya kwanza.

Sambamba na utekelezaji miradi hiyo kutakuwa na uboreshaji wa miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami (Km 9.5) pamoja na maeneo ya kutupa taka, ambapo utekelezaji wa miradi hiyo unatarajia kuanza hivi karibuni. “Nkya alieleza”

Jumla ya shilingi Trilioni moja na Bilioni 150 zimetolewa kutoka Benki kuu ya dunia ambazo zitagawanywa katika Halmashauri za Miji 45, kwa lengo la kuboresha miundombinu mbalimbali ili kupunguza changamoto ya upungufu wa miundombinu bora katika Miji ya Tanzania.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa