• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKOA WA RUVUMA KUTOA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA AFYA KUPAMBANA NA CORONA.

Tarehe ya kuwekwa: September 25th, 2021

Na.  AMINA  PILLY

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

‘’Wananchi hawana taarifa sahihi kuhusu chanjo ndio maana mwamko wa wananchi katika swala la kuchanja ni dogo hivyo tunatakiwa kuimarisha dhana ya mawasiliano na kuwafanya wananchi wengi waweze kupata tarifa sahihi na kubadilisha fikra potofu walizonazo  na wakubali kuchanja”

Hayo yamebainishwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Jairy Khanga wakati akifungua  mafunzo kwa timu ya wataalamu wa afya Mkoani Ruvuma inayohusu  utoaji wa  huduma za chanjo kwa wananchi kwa lengo la kufanya   uhamasishaji  wa chanjo  na kutoa elimu kwa wananc

DKT. Khanga  amewataka washiriki wa mafunzo hayo kuwa wasikivu wakati wa mafunzo  yayonaendelea kutolewa katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kuanzia jana 24-25/9/2021 kwa wataalamu wa afya kutoka  katika Halmashauri za wilaya zote za mkoa wa Ruvuma kwa lengo la kuwajengea uwezo namna ya kuhamasisha jamii na utoaji wa huduma ya chanjo.

Alisema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipokea chanjo 1,058,400 kitaifa,  ambapo zoezi hilo la utaji chanjo  lilizinduliwa kitaifa tarehe 07 julai Jumla ya wananchi 27 mwezi julai 2021, ambapo Mkoa wa Ruvuma ulipokea chanjo 30,000 na hadi hivi sasa kwa kushirikiana na Boresha afya wameweza kufanikiwa kuchanja chanjo  7826.

Aliongeza Mkoa wa Ruvuma ulianza kutoa chanjo tarehe 03 agost 2021 huku kukiwa na vituo maalumu  vya kutolea huduma  za chanjo 23 lakini kupitia huduma  Mpango Shirikishi na Harakishi umekwenda kuboresha Zaidi na kuhamasisha jamii kupata chanjo ambapo kwa sasa Mkoa wa Ruvuma  umeongeza vituo 200 kwa kutoa huduma ya chanjo.

Naye kiongozi wa timu ya kitaifa ya chanjo katika mkoa wa Ruvuma  William Reuben amewataka washiriki wa mafunzo kuleta matokeo chanya  katika kazi watakazotakiwa kwenda kuzifanya ili kutekeleza lengo la saerikali la kuhakikisha wananchi wake wanapata chanjo .

   Mpango shirikishi na Harakishi

JIKINGE, IKINGE NA JAMII INAYOKUZUNGUKA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa