• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma ulivyodhamiria kupunguza udumavu

Tarehe ya kuwekwa: November 16th, 2018

MKOA wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa mitano nchini inayoongoza kwa udumavu na utapimlo hapa nchini.

Takwimu zinaonesha kuwa  udumavu kitaifa ni asilimia 34 ambapo katika mkoa wa Ruvuma udumavu umefikia asilimia 44.4,licha ya kwamba mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula.

Takwimu zinaonesha kuwa mkoa wa Ruvuma pia unakabiliwa na utapiamlo.Hali hiyo ndiyo iliyosababisha wadau wa lishe kutoka ofisi ya Rais TAMISEMI na wadau wa lishe toka Halmashauri za Manispaa ya Songea,Halmashauri ya wilaya ya Songea na Ofisi ya Mkuu wa mkoa kukutana kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea katika mafunzo maalum ya lishe.

Mada za mafunzo hayo ziliendeshwa na wawakilishi kutoka TAMISEMI ambao ni Alan Bendera na Anna Andrew Afisa Liche kutoka TAMISEMI.

Alan Bendara Mtaalam wa Uchumi kutoka TAMISEMI ameagiza wazazi na walezi kuwekeza kwa siku 1000 za ukuaji wa motto ili kuepukana na udumavu na utapiamlo na kwamba elimu sahihi ya kukabiliana na tatizo hilo inatakiwa kutolewa katika jamii.

Akizungumza kwa niaba ya Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Rajabu,Mtiula amesema wenyeviti wa Halmashauri walikuwa hawana uelewa kuhusu lishe na kwamba baada ya kupata mafunzo hayo sasa watahakikisha  bajeti ya 2019/2020 inaongezeka.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Godfrey Chipakapaka amesema kuanzia sasa atahakikisha kuwa bajeti ya lishe inakuwa kubwa ili kukabiliana na udumavu na utapiamlo.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo mgeni rasmi Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Pololet Mgema ameagiza hatua zichukuliwe ili kukabiliana na udumavu kwa sababu mkoa wa Ruvuma miongoni mwa mikoa mitano inayoongoza kwa udumavu.

Amesema Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ,amesaini mkataba wa lishe dhidi ya wakuu wa wilaya na kwamba wakuu wa wilaya nao wamesaini mikataba ya lishe na wakurugenzi wa Halmashauri.

Ameagiza elimu ya lishe itolewa katika makundi yote ili kukabiliana na vita ya udumavu.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Novemba 16,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa