• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma wazalisha tani 1,255,134

Tarehe ya kuwekwa: December 2nd, 2019

MKOA wa Ruvuma umezalisha tani 1,255,134 na kuufanya Mkoa wa Ruvuma  kushika nafasi ya kwanza Tanzania   kitaifa  katika uzalishaji wa mazao ya kilimo baada ya kuzalisha kwa zaidi ya asilimia 200.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akizungumza wakati anafungua mkutano wa kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa wa Ruvuma RCC  amesema katika kipindi cha mwaka 2019/2020 Mkoa wa Ruvuma umenunua  mazao ya ufuta,mbaazi na soya  kupitia mfumo wa stakabadhi ya mazao ghalani na kusaidia  kupatikana kwa zaidi ya shilingi bilioni 27.87 ambapo mapato ya ufuta ni zaidi ya shilingi bilioni 25,soya zaidi ya bilioni 2.2 na mbaazi ni shilimgi milioni 542.

Hata hivyo amesema Mkoa wa Ruvuma umeendelea kushirikiana na Taasisi nyingine kusimamia zoezi la ununuzi wa korosho kutoka kwa  wakulima ambapo hadi sasa   jumla ya minada mitatu ya korosho imefanyika na kufanikiwa kuuza kg 6,894,985 zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 18 na kwamba matarajio ya mavuno ya korosho kwa mwaka huu ni kilo 20,000.

Amesema mafanikio ya ulalishaji  katika  kilimo yanatokana na matumizi bora ya pembejeo za kilimo na kwamba katika msimu wa mwaka 2019/2020 serikali itaendelea na mfumo wa bei elekezi ya kun unua pembejeo za kilimo hususan mbolea ya kupandia na ya kukuzia  ambapo Wizara ya kilimo na Mamlaka ya udhibiti wa ubora wa mbolea Tanzania imetoa bei elekezi kwa kila wilaya katika Mkoa wa Ruvuma.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa