• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amewataka wakuu wa Wilaya kutatua migogoro ya Wananchi.

Tarehe ya kuwekwa: January 31st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal Labani Thomas amewataka Wakuu wa Wilaya Mkoani Ruvuma  kufanya ziara ya kuwatembelea Wananchi kwa lengo la kusikiliza kero zao na kuzitatua  pamoja na  kukagua  miradi mbalimbali ya maendeleo.

kauli hiyo imetolewa leo tarehe 31 Januari katika Tafrija ya Kuapishwa  kwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Wilmani  Kapenjama  Ndile iliyofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma iliyohudhuriwa na viongozi ngazi ya Mkoa, Halmashauri, pamoja na wataalamu mbalimbali.

Kanal Laban alisema “ tekelezeni maagizo yaliyotolewa na Chama  cha Mapinduzi ambayo yanawataka Wakuu wa Wilaya kutoa huduma bora kwa wananchi ikiwemo na  kutatua migogoro na malalamiko ya wananchi.

Aliongeza kuwa Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma sio wavivu  ni wakulima hivyo amewataka kusimamia changamoto zote zinazowakabili wakulima na kuzipatia ufumbuzi na endapo mtashindwa kutekeleza maagizo hayo mtakwamisha maendeleo. “Kanal. Laban aliagiza. “

Ametoa Rai kwa wataalamu Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanasimamia zoezi la wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti ambapo ni asilimia 63% ya wanafunzi wameripoti shuleni.

Naye mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma  Oddo Mwisho amewataka Wakuu wa Wilaya wapya kutoa ushirikiano katika kusimamia shughuli za maendeleo katika Halmsahauri  ili kutekeleza  lengo la Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 sambamba na utunzaji mazingira.

Akizungumzia sakata la migogoro ya wafugaji ambayo ni kero kwa jamii ambapo  alisema nanukuu” Mkoa wa Ruvuma umejikita na kilimo sio Mifugo jambo ambalo amewataka Vongozi hao  kutatua changamoto hizo iwezekanavyo.

Naye aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema alitoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kumuamini na kumteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Meya, Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi pamoja na wataalamu mbalimbali katika kipindi chake cha uongozi alishirikiana nao na kufanikiwa kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo, “ Pololet Alishukuru”


Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea (Mteule)  Mheshimiwa Wilman Kapenjama  Ndile  ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kumteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songea ambapo ameahidi kufanya kazi kwa ushirikiano na yuko tayari  kujifunza wakati wote na kisha alimtakia safari njema  Mkuu wa Wilaya ambaye amemaliza muda wake wa uongozi.

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI

  

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa