• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma akagua mradi wa barabara ya Mbinga-Mbambabay

Tarehe ya kuwekwa: November 16th, 2018

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi christine Mdeme akikagua ujenzi wa barabara ya Mbinga-Mbamba-bay kilometa 66 unaoendelea katika eneo la uwanja wa ndege Mbamba-bay,Wilayani Nyasa alipofanya ziara ya kikazi ya siku mbili Wilayani Nyasa,hivi karibuni. (katikati) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Dkt Oscar Mbyuzi na kulia ni Ofisa mipango Wilaya ya Nyasa Jabir Chilumba.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Bi.Christine Mdeme amewataka wananchi kupambana na uvuvi haramu katika ziwa nyasa na kuwachukulia hatua watu wote wanatakaobainika kutumia kukiuka sharia ya kuvua samaki wadogo wadogo.

Ameyasema hayo hivi karibuni wakati akifanya mkutano wa hadhara katika  Kituo cha afya Kihagara kata ya Kihagara mkutano uliokuwa ni wa kuongea na kutatua matatizo ya wananchi wa kata ya Kihagara ambao walipata fursa ya kutoa Kero na changamoto zinazowakabili wananchi wa kata ya Kihagara.

Bi.Mdeme alifafanua kuwa tuna kila sababu ya kutunza maliasili zetu ili ziweze kuzifaidisha vizazi vyote vya sasa na vya baadae kwa kuwa kufanya hivyo kutatupelekea taifa letu kuwa na maendeleo hivyo aliagiza kuanzia sasa uongozi wa kijiji kulinda na kuhifadhi raslimali za uvuvi kwa kuhakikisha nyavu zote haramu zinakamatwa.

Mdeme aliwaonya wale wote wenye tabia ya kuvuna samaki wachanga kuchukuliwa hatua kali za kisheria kwa kuwa ni wauaji wa viumbe hai vinavyostahili kuishi kwa mujibu wa sharia  na wananchi wote tunawafahamu wale wote wenye nyavu haramu kwa hiyo tunatakiwa kuwa waangalifu na hawa watu ambao wanaua samaki wetu.

“Naagiza kuanzia leo uvuvi haramu ni marufuku,uongozi wa Halmashauri, kata na vijiji naagiza tena marufuku mtu kuvua akiwa na nyavu haramu na kama akitokea nitakamata uongozi wote wa kijiji na kata na kuweka ndani kwa kuwa siamini uhalifu ufanyike ndani ya kijiji au kata viongozi wasiwe na taarifa ninachokijua watakuwa na maslahi na uvuvi haramu huo.

Wananchi wa kata hiyo ya kihagara walikubaliana na mkuu huyo na kumuahidi yote aliyose watayazingatia kwa kuacha na kutoa taarifa za walea wote watakaobainika kukiuka agizo hilo.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma alifanya ziara ya siku mbili hivi karibuni kwa kutembelea Miradi mbalimbali ya maendeleo na kufanya mkutano wa hadhara katika kata ya Kihagara Wilayani hapa.

IMETOLEWA NA

NETHO C.SICHALI

AFISA HABARI

NYASA DC

0783662568

















Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa