• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA SONGEA AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA.

Tarehe ya kuwekwa: April 24th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile tarehe 23 Aprili 2024 amefanya ziara ya kutembelea shule za sekondari zenye wanafunzi wa kidato cha sita kwa lengo la kuwatia moyo wakielekea katika mtihani  wa Taifa unaotarajia kufanyika May 2024.

Ziara hiyo imefanikiwa kwa kutembelea shule ya Sekondari Msamala, Shule ya Sekondari Dkt. Emmanuel Nchimbi,  pamoja na shule ya Sekondari Londoni.

Akizungumza na wanafunzi wa Sekondari kwa wakati tofauti kiongozi huyo alisema “ Mtihani hujaza hofu kwa watainiwa kutokana na kusoma kwa miaka mingi lakini kwenye mtihani unaulizwa vitu vichache hivyo amewataka wanafunzi hao kujiamini na kumtanguliza mungu pamoja na  kuzingatia masomo waliyofundishwa darasani na hatimaye  watafaulu  daraja la kwanza .” alibainisha.

Ndile aliongeza kuwa mkifanya vizuri katika mitihani yenu mtaleta sifa nzuri katika shule, na jamii mnayotoka, pia alitoa wito kuzingatia kanuni za usimizi wa mitihani ambapo amewataka kutogushi au kufanya udanganyifu katika mitihani ambayo kwa kufanya hivyo wanaweza kusababisha matatizo katika shule au watahiniwa wote.

Aidha, katika kuwatia moyo wanafunzi hao mkuu wa Wilaya ametoa kilo sitini 60 za mchele kwa kila shule aliyotembelea za kidato cha sita.

Kwa upande wa wanafunzi wametoa shukrani kwa Serikali kwa kuwajengea miundombinu  bora, pia wameahidi kufanya vizuri katika mitihani yao.

Mwisho.                                                                                           

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa