• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA SONGEA AMEWATAKA WANANCHI KUDUMISHA AMANI

Tarehe ya kuwekwa: April 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile, amewataka watanzania kuendelea kuenzi  muungano wetu na kudumisha amani huku akisisitiza kuwa matokeo ya jitihada  za waasisi wa Taifa la Tanzania hazipaswi kupuuzwa.

 Hayo yamejiri wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 61 ya muungano katika Wialaya ya Songea yaliyofanyika katika viunga vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Songea ambapo yamehudhuriwa na wananchi mbalimbali, wazee, jeshi la polisi na wadau wa Mbalimbali kwa lengo la kudumisha na kuenzi  muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo yalianza kwa kufanya usafi, kupanda miti pamoja na matembezi ya amani.

Ndile alisema, nchi nyingi duniani zimesamabaratika kutokana na kukosekana kwa mshikamano, huku akiwataka watanzania kuendelea kuwa na umoja na kulinda muungano na hatimaye kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa wamoja licha ya tofauti zao, ambapo  alieleza kuwa jukumu la kulinda muungano ni lakila mmoja. "Alibainisha."

Alihimiza umuhimu wa mazoezi ya mwili kama sehemu ya kujenga afya kwa watanzania nakuwa na jamii imara pia akisisitiza  wananchi kuanza kufanya mazoezi ya kila wiki ili kupunguza gharama za tiba  na kujenga ustawi wa maisha ya jamii.

Aliongeza kuwa viongozi wa taasisi zote  kuendeleza mshikamano na kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii ili kuimarisha amani,na mshikamano kwa maendeleo ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mwisho.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly

Kitengo cha mawasiliano Serikalini

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI RUVUMA

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Tazama zote

Video

YALIYOJIRI MAKABIDHIANO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa