• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MNDEME azindua kongamano la wanawake kanda ya kusini

Tarehe ya kuwekwa: February 20th, 2020

Kongamano hilo limefanyika jana 19/02/2020   katika ukumbi wa Familia Takatifu uliopo Kata ya Bombambili Manispaa ya Songea;

Mgeni Rasmi katika Kongamano la wanawake Kanda ya Kusini  alikuwa  Mkuu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Christina Mndeme ambaye aliwakilishwa na  Mkuu wa Wilaya ya Nyasa bi  Isabela Chilumba.

 Mndeme alizitaja shughuli zitakazoambatana na maadhimisho ya mwaka huu ni pamoja na makongamano katika kanda saba, misafara ya kijinsia ambapo alisema wakati wa misafara Makongamano  ya kikanda yamebeba  jumbe mbalimbali za kuhamasisha wanawake na jamii kwa ujumla  katika kufikia Maendeleo endelevu.

“ Lengo la kongamano ni pamoja na kujadili hali ya Elimu katika Kanda ya Kusini na umuhimu wake katika Maendeleo , fursa za Uongozi kwa Wanawake pamoja na hali ya ukatili wa kijinsia katika jamii yetu ambapo washiriki watapata fursa ya kutoa michango yao na kupanga mikakati katika kufikia maendeleo ya jamii endelevu na Taifa kwa ujumla.”,alisisitiza.

Kongamano hili linafanyika katika Kanda saba ikiwemo Kanda ya Kusini ambayo inajumuisha mikoa ya Ruvuma,Lindi  na Mtwara ambapo kitaifa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kitafanyika mkoani Simiyu Machi 8,2020.

UJUMBE WA KONGAMANO “ Wanawake  na  fursa za Uongozi ,”Ukatili wakijinsia na changamoto zake katika Maendeleo”.

                                               IMEANDALIWA NA ;

                                                      AMINA PILLY.

                                   AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa