• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA SONGEA AONGOZA WANANCHI KATA YA RUVUMA KUCHIMBA MSINGI WA VYUMBA VYA MADARASA

Tarehe ya kuwekwa: November 17th, 2022

Mstahiki Meya Manispaaa ya Songea ameongoza wanachi wa kata ya Ruvuma katika zoezi la uchimbaji wa msingi wa madarasa 4 manne katika shule ya Msingi Kipera ambayo itajengwa kwa nguvu za wananchi wa kata hiyo.

Zoezi limejili  kwa lengo la kuunga mkono jitihada za wananchi wa kata ya Ruvuma ambao kwa umoja wao wamekubaliana kuanzisha mchango wa ujenzi wa vyumba vya madarasa vinne 4  kwa kuchangiakiasi  cha shilingi 20,000 kwa kila kaya.

Mhe. Mbano amewataka wananchi hao kuendelea kushirikiana katika kuchangia ujenzi  unaoendelea kwa lengo la kupunguza changamoto ya madarasa inayoikabili shule hiyo ambapo amewaahidi wananchi hao  kujenga majengo hadi kufikia hatua ya renta baada ya hapo Halmashauri itamalizia katika hatua zitakazofuata ambazo ni kuezeka na ukamilishaji.

Alisema Serikali haiwezi kufanya kazi yake bila kushirikiana na wananchi kinachotakiwa ni kuunga mkono jitihada za Serikali kwa kuchangia nguvu kazi na michango mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa letu.

Aliongeza kuwa Manispaa ya Songea imepokea fedha kiasi cha shilingi bil. 1.52 kutoka Serikali kuu   kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarsa 76 katika shule za Sekondari kwa lengo la kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwezi januari 2023.

Kwa upande wake Mheshimiwa Diwani kata ya Ruvuma  Issa Telela  amewataka wananchi kuendelea kuchangia michango hiyo bila vikawazo kwa kukuwa michango iliyopangwa ni maamuzi ya wananchi wenyewe kupitia mikutano ya hadhara ya mtaa.

Alisema kukataa kuchangia kiasi kilichopangwa ni kupinga maendeleo ya  kata ya Ruvuma ambapo alieleza  kuwa kutokana na upungufu wa madarasa katika shule ya Msingi Kipera inawapasa kusaidia Serikali kwa kuanzisha ujenzi wa madarasa 4 manne ambayo yataishia ngazi ya  Boma na baadae  Serikali itamalizia.

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa