• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mstahiki Meya amewataka Wataalam kusimamia Miradi ya Maendeleo

Tarehe ya kuwekwa: October 31st, 2024

Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mhe. Michael Mbano,  amewataka waheshimiwa Madiwani kuendelea kushirikiana na wataalamu katika kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Aidha Mhe,. Mbano  ameagiza  wataalamu kuleta taarifa za utekelezaji wa miradi kwa kila wiki ili kufuatilia kwa karibu kila hatua ya maendeleo.

Amesema “Katika tukio la ujio wa Rais DKT. Samia Suluhu Hassan, wananchi walijitokeza kwa wingi, na hili limejenga heshima kubwa kwa viongozi na jamii ya Manispaa ya Songea.

Aliongeza kuwa,  Katika kutatua changamoto ya madawati Manispaa ya Songea imeweka Mkakati wa  kutengeneza madawati zaidi ya 200 katika kila kata ili kukabiliana na upungufu wa madawati.

Aidha, Wataalam wa Manispaa ya Songea  wameagizwa kuweka mipango ya muda mrefu na mfupi kwa ajili ya maendeleo ya mji, pamoja na kufanya mapitio ya sheria ndogo za miji ili kuhakikisha shughuli za Serikali zinaenda kama ilivyokusudiwa.

Katibu wa Tawala Wilaya ya Songea, Mtella Mwampamba, alisisitiza umuhimu wa wataalam kujitathimini kuhusu utekelezaji wa majukumu yao ambapo pia  alielezea hatua zilizochukuliwa kuhusu kung’olewa kwa chuma za POSTIKODI, akiwataka wanunuzi wa chuma chakavu kuwa makini wakati wa kununua chuma chakavu pia amewataka wenye kutenda matukio hayo kuacha vitendo vya kuhujumu uchumi, vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Katibu wa CCM Wilaya ya Songea Mjini, James Mgego, aliwapongeza wataalamu kwa usimamizi mzuri wa zoezi la uandikishaji na kuhimiza Madiwani kuhamasisha wananchi kwenda kupiga kura ifikapo tarehe 27 Novemba 2024.

IMEANDALIWA NA:

 AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa