• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MSTAHIKI MEYA AMSHUKURU DKT. SAMIA KWA KULETA FEDHA NYINGI ZA MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe ya kuwekwa: August 16th, 2024

MSTAHIKI Meya Manispaa ya Songea amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Sulluhu Hassan  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta fedha nyingi  kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Alisema Manispaa ya Songea imeendelea kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo ikiwemo na mradi wa Barabara wenye thamani ya zaidi ya  shilingi Bil 22, mradi wa mitaro ya maji Bil. 157, ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Amali unaojengwa kwa  Bil. 1.6, Ujenzi wa shule ya kata ya Ruhuwiko wenye thamani ya Mil. 560, mradi wa barabara (TACTIC)  zaidi ya Bil. 22 na miradi mingene yote inayoendelea kujengwa.   Alipongeza.

Mhe. Mbano amewataka wajumbe wa kamati mbalimbali za kudumu zilizoundwa Mkutanoni hapo kuendelea kusimamia maadili wanapotekeleza majukumu yao ya kamati na endapo watakiuka  za ya  kamati hizo hana budi kuzivunja na kuunda upya ili shughuli za Serikali ziweze kusonga  mbele. “Alibainisha.”

Amewataka wataalamu wa wahakikishe wanakamilisha zoezi la kuweka vibao kwenye barabara za mitaa  (POST KODI) ili  barabara ziweze kutambulika kwenye mitaa husika.

Ametoa kauli hizo akiwa kwenye baraza la Madiwani la mwaka 2023/2024 lililofanyika tarehe 15 August 2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambalo lilihudhuriwa na viongozi wa vyama vya Siasa, wataalamu na wananchi mbalimbali kwa lengo la uundaji wa kamati za kudumu za Halmashauri.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtella Mwampamba amewapongeza viongozi waliochaguliwa wa kamati za  kudumu za Halmashauri, pia alichukua nafasi hiyo  kupongeza Naibu Meya ambaye amechaguliwa kwa awamu nyingi mfululizo.

Akitoa Salamu za Serikali katika Mkutano wa Baraza la Madiwani  ambapo aliwataka wananchi kushiriki semina ya mafunzo ya uwekezaji yanayendeshwa katika ukumbi wa Chuo kikuu  Huria yanayoendeshwa na TIC ambayo yatawawezesha washiriki kupata fursa ya kujifunza namna ya kuwekeza.

Kwa upande wake katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Songea Mjini James Mgego, amewataka Madiwani hao kuendelea kutoa ushirikiano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Wakili. Bashir Muhoja alisema kwa mujibu wa kanuni  7 ambayo ni muongozo unaoeleza  kazi kubwa ya mkutano wa baraza la mwaka la madiwani  ni pamoja na kufanya uchaguzi wa Naibu Meya, uundaji wa kamati za kudumu za Halmashauri, uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu, upitishaji wa ratiba ya vikao vya mwaka, pamoja na uwasilishaji wa taarifa za utendaji wa kazi za mwaka uliopita.

Aidha baada ya kusoma mwogozo huo hatua za uchaguzi wa kumpigia kura mgombea Jeremia  Mlembe ambaye hakuwa na mpinzani uliendelea kufanyika kwa kupigiwa kura na wajumbe ambao ni waheshimiwa madiwani  28  ambapo kura zilizopigwa ni 28, kura zilizoharibika 0, kura zilizokataliwa ni 0, na kura za ndiyo ni 28 ambapo baada ya matokeo hayo katibu wa Baraza la Madiwani Manispaa ya Songea,  alimtangaza  Mhe. Jeremia Mlembe kuwa Naibu Meya Manispaa ya Songea baada ya matangazo ya uchaguzi huo Mkurugenzi alisoma taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ykatika kipindi cha mwaka 2023/2024.

Akitoa shukrani ya  Naibu Meya Jeremia Mlembe alianza kwa kushukuru chama cha Mapinduzi ngazi ya Wilaya, Mkoa, kwa Mkurugenzi  wa Manispaa ya Songea, Waheshimiwa Madiwani wote kwa kumchagua kwa mara nyingine mfululizo na ameahidi kutoa ushirikiano wakati wote katika kutekeleza shughuli za Serikali na Chama Tawala”. Alishukuru.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini












Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa