• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MWANAMKE NI NGUZO MUHIMU KATIKA FAMILIA

Tarehe ya kuwekwa: March 8th, 2020

Kauli hiyo imetolewa leo 08/03/2020 kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani  zilizofanyika katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea.

Mgeni Rasmi  katika maadhimisho hayo Mh Mbunge Viti Maalm  Mkoa Wa Ruvuma Jackline Msongozi.

Msongozi  alisema leo ni siku pekee iliyowekwa kwa ajili ya kumkumbuka Mwanamke ambaye ni nguzo katika familia kwani pasipokuwa  na mwanamke hakuna binadamu ambaye angeweza kuzaliwa hivyo mwanamke aheshimiwe duniani kote.

 Awali akiwa  anakagua vibanda  vya maonyesho ya biashara mbali mbali uwanjani humo, aliwapongeza wanawake wajasiliamali kwa ubunifu mzuri wa kuboresha na kutunza biashara zao kwenye vifungashio ambavyo ni salama kwa walaji/wateja. 

Akijibu  Hotuba iliyosomwa na kaimu  Afisa maendeleo ya jamii Manispaa ya  Songea Joyce Mwanja kiongozi huyo alisema” atahakikisha anasimamia na kutetea  haki, usawa na masuala ya  kijinsia ambayo yanaendana sambamba na  kauli mbiu ya mwaka huu inayotuelekeza, na  kutathimini miaka 25 tangu kupitishwa kwa azimio la Ubelgiji. Pia  alikemea vikali matukio ya  Ukatili kwa wanawake, unyanyasaji wa  kijinsia yanayojitokeza katika jamii na kusema tabia hiyo haitakiwi katika Maisha yetu.”

Akimpongeza  Mkurugenzi wa manispaa ya Songea Tina Sekambo  kwa kutambua nafasi ya mwanamke katika jamii na kuweza kuwawezesha  wanawake hao  kwa kutoa mikopo zaidi ya mil 100 na kugawa msaada kwa watu wenye  mahitaji maalum.  Aidha alitoa rai kwa  Taasis zinazotoa mikopo kuendelea kutoa mikopo yenye riba nafuu ili  akinamama wajasiliamali  waweze kukopa na kukuza mitaji yao.

Aliwaasa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kuchukua tahadhari dhidi ya  ugonjwa hatari wa  CORONA ambao ni tishio duniani.

Kauli mbiu ya Maadhimisho 2020” “ KIZAZI  CHA USAWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA YA SASA NA BAADAYE.”

                                                                   IMEANDALIWA NA ;

                                                                        AMINA PILLY

                                         KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa