• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MWENYEKITI WA KAMATI YA USHAURI YA WANAWAKE TALGWU MKOA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE.

Tarehe ya kuwekwa: April 13th, 2021

Mwenyekiti wa kamati ya Ushauri ya wanawake TALGWU Mkoa wa Ruvuma bi Anna Mputa akiongoza kikao cha wajumbe wa kamati hiyo na  kusikiliza kero mbalimbali zinazohusu wanawake wanachama wa TALGWU na changamoto mbalimbali za watumishi wa chama hicho kilichofanyika katika ofisi ya TALGWU Mkoa wa Ruvuma tarehe 09.04.2021.

 Alisema wanachama wanawake wanachangamoto nyingi hivyo amewataka wajumbe hao kufanya ziara ya kuwatembelea watumishi kwenye maeneo yao sambamba na kutoa elimu ya wajibu wa mtumishi mahala pa kazi ili kuondoa migongano na waajili.

Alisema Chama cha TALGWU kinaelekea kwenye uchaguzi hivyo kila mmoja wao anatakiwa kuhamasisha wanachama kujitokeza kushiriki kwenye uchaguzi mara muda utakapowadia. 

Alisema taratibu za ugawaji fomu  kwa wagombea zilitolewa na uongozi ngazi ya Mkoa hivyo amewaasa wanachama wanawake kujiamini wakati wakugombea nafasi mbalimbali pamoja na kutokata tamaa mapema kwani kila mwanachama anayo haki ya kugombea nafasi yoyote chamani. Chama hicho kinatarajia kuanza uchaguzi hivi karibuni mara baada ya taratibu za kiutendaji kukamilika.

Naye Mwenyekiti wa TALGWU Mkoa wa Ruvuma Willy Luambano  alisema mwaka huu Sherehe za Mei Mos zitafanyika kimkoa katika Wilaya ya Nyasa, hivyo amewataka wanachama wa TALGWU kushiriki kwenye maadhimisho hayo ili kujenga umoja na mshikamano chamani.

Mwisho alimaliza kwa kusema TALGWU - CHAMA IMARA HUDUMA BORA KWA WANACHAMA.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA. 

13.04.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa