• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU KATIBU MKUU OR-TAMISEMI " ATOA MAAGIZO KWA WATAALAMU MKOANI RUVUMA."

Tarehe ya kuwekwa: November 14th, 2022

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,  Ramadhan  Kailima amewataka  wataalamu Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanafuta HOJA za ukaguzi kwa kila Halmashauri  ifikapo disemba 2022.

Hayo yamejili katika kikao  kazi cha utekelezaji wa maagizo ya LAAC “ Local Authority Accounting Comettee” kilichofanyika leo tarehe 14 Novemba 2022 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea na kuhudhuriwa na Wakurugenzi  kutoka kila Halmashauri Mkoani Ruvuma pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali kwa  lengo  mahususi la kupata taarifa za utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na kamati ya  LAAC.

Ndugu Kailima alisema kuwa, lengo la kutembelea Mkoa wa Ruvuma ni kwa ajili ya  kushiriki kikao kazi na kupokea  taarifa ya utekelezaji wa HOJA za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali pamoja na maagizo ya kamati ya  LAAC ambapo amewataka wataalamu wote kila Halmashauri  kuhakikisha wanajibu Hoja zote za Ukaguzi .

Alisema Hoja zilizosalia kipindi cha miaka ya  nyuma Mkoani Ruvuma zilikuwa 114 kati ya hizo Hoja 84 zimefungwa ambapo HOJA 30  bado hazjajibiwa  pia katika mwaka wa fedha 2020/2021 Mkoani Ruvuma kumekuwa na Hoja mpya 228 kati ya hizo Hoja 138  zimefungwa, Hoja 90 bado hazijajibiwa, na kufanya kuwa na jumla ya hoja ambazo bado hazijajibiwa 120 ambapo ameagiza kufutwa kwa hoja hizo ifikapo disemba 2022. “Kailima amesisitiza.”


Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Stephen Mashauri Ndaki alisema katika kufanikisha kusimamia  maagizo yaliyotolewa  ya HOJA  za Ukaguzi, ambapo  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  imetoa maelekezo kwenye Halmashauri zote 8 na kuhakikisha taarifa hizo zinawasilishwa pamoja na uzingatiaji wa  sheria mbalimbali za  kutangaza kupitia gazeti la Serikili.

Kwa upande wa Halmashari ya Manispaa ya Songea katika ukaguzi wa hesabu kwa mwaka 2020/2021  na miaka ya nyuma kulikuwa na Hoja za ukaguzi 61 kati ya hizo Hoja zilizofungwa 47,na kusalia  hoja 14 pamoja na maagizo 3 ambayo yametekelezwa  sawa na  asilimkia 100% ambapo kwa mwaka 2020/2021 Halmashauri hiyo ilifanikiwa kupata HATI INAYORIDHISHA.

 

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manispaa ya Songea Wakili. Muhoja, Akabidhi Eneo la Mradi wa Ujenzi wa masoko na Kiwanda Lilambo.

    July 15, 2025
  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

UJENZI WA MASOKO MANZESE A & B, NA KIWANDA KUANZA KUJENGWA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa