• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS-TAMISEMI DAVID SILINDE, AIPONGEZA MANISPAA YA SONGEA KWA KUSIMAMIA MIRADI KWA UFANISI.

Tarehe ya kuwekwa: February 24th, 2021

Miongoni mwa wataalamu waliosimamia vizuri miradi ya ujenzi wa miundombinu ya shule ni pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Songea “ hongereni sana.”

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mh. David Ernest Silinde (MB) akiwa  ziarani  Manispaa ya Songea leo tarehe 24 februari 2021 ambapo ameweza  kutembelea miradi mbalimbali ya ujenzi  ya miundombinu ya shule za Sekondari na kujionea ufanisi mkubwa wa utekelezaji wa miradi hiyo.

Mh. Silinde (MB) alisema  lengo la  ziara hiyo ni kukagua matumizi sahihi ya fedha za Serikali (EP4R) na kujiridhisha kama fedha iliyotolewa imeendana na thamani halisi ya mradi uliokusudiwa  ambapo Serikali ilitoa fedha Tsh milioni 80,000,000  shule ya Sekondari ya Mdandamo pamoja na Sekondari ya Chabruma kwa ajili ya kujenga mabweni.

Aliongeza kuwa mwaka 2021 Serikali imeweka mpango wa kujenga Sekondari 1000 mpya, pamoja na ujenzi wa  Sekondari 26 yaani kwa kila Mkoa utakuwa na sekondari moja za wasichana ili kuwaondolea changamoto mbalimbali zinazowakabili.

Alisema  kuna baadhi ya Halmashauri nyingine zimepewa fedha nyingi za mradi lakini wameshindwa  kutekeleza  mradi ipasavyo kutokana na kujiongezea gharama za manunuzi na kudai kuwa fedha hizo  hazitoshi “kwa fedha za Serikali  huo ni wizi”

Akitoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea, Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa, wakuu wa shule zenye miradi hiyo, kwa usimamizi mzuri wa miradi ya ujenzi wa Bweni katika shule ya Sekondari Mdandamo pamoja na Sekondari ya Chabruma na kusisitiza kuwa wataalamu hao ni mfano wakuigwa.

Mh. Silinde  amehitimisha  ziara yake leo katika halmashauri ya Manispaa ya Songea na   kuendelea na ziara hiyo katika Halmashauri ya Wilaya Songea na Mbinga.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

24.02.2021

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa