• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI kuanza ziara mkoani Ruvuma

Tarehe ya kuwekwa: August 9th, 2018

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)  Josephat Sinkamba Kandege anatarajia kuanza ziara katika mkoa wa Ruvuma kuanzia Agosti 10 hadi 14 mwaka huu.Akiwa katika mkoa wa Ruvuma,Kandege anatarajia kutembelea na kukagua kituo cha Afya Madaba na Mtyangimbole katika Halmashauri ya Madaba wilayani Songea.

Kulingana na ratiba ya zaira hiyo Naibu Waziri huyo wa TAMISEMI akiwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea anatarajia kukagua miradi ya ujenzi wa stendi ya kisasa na machinjia katika Kata ya Tanga,mradi wa kituo cha Afya kata ya Ruvuma na mradi wa barabara za lami mjini Songea na kwamba atafanya ziara katika Halmashauri ya wilaya ya Songea na kukagua vituo vya Afya Muhukuru,Mchoteka na zahanati ya Lugagara

Waziri Kandege katika wilaya ya Mbinga anatarajia kukagua kituo cha Afya Kalembo,katika Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa anatarajia kukagua mradi wa kituo cha Afya Mkili,katika wilaya ya Namtumbo anakagua kituo cha Afya Namtumbo,katika wilaya ya Tunduru atatembelea na kukagua vituo vya afya Matemanga na Mkasale.

Katika ziara hiyo Naibu Waziri pia atapata fursa ya kuzungumza na watumishi katika kila Halmashauri.

Kulingana na ratiba hiyo Agosti 10,2018  atakuwa katika Halmashauri za Madaba na Songea Manispaa wilaya ya Songea .Agosti 11 atakuwa katika wilaya ya Mbinga na Nyasa,Agosti 12 na 13 atakuwa katika Halmashauri ya wilaya ya Songea na Agosti 14 anatarajia kumaliza ziara yake katika wilaya za Namtumbo na Tunduru.

imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea 

Agosti 8,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa