• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

PATO la Mkoa wa Ruvuma laongezeka kwa asilimia 87

Tarehe ya kuwekwa: September 11th, 2018

PATO la Mkoa wa Ruvuma(Regional Domestic Product-GDP) limeongezeka toka shilingi 3,544,392,000,000.00 mwaka 2015 hadi kufikia  shilingi 4,046,849,000,000.00 mwaka 2016.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema ongezeko hilo ni sawa asilimia 87.6 na kwamba pato la Taifa kwa mtu(Per capital income) kwa mwaka 2015 katika Mkoa wa Ruvuma lilikuwa shilingi 2,415,486 na kwamba limeongezeka hadi kufikia shilingi 2,700,022 mwaka 2016 sawa na ongezeko la asilimia 11.8.

Hata hivyo Mndeme amesisitiza kuwa uchumi wa Mkoa wa Ruvuma hutegemea kilimo ambapo zaidi ya asilimia 87 ya wakazi wake hupata riziki yao kupitia kilimo na kuchangia pato la mkoa kwa asilimia 75.

“Mkoa wa Ruvuma umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya uchaguzi Mkuu ya CCM ya mwaka 2015 hadi 2020 kwa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana,kuendeleza mapambano dhidi ya adui rushwa na ubadhirifu wa mali za umma na kudumisha amani,ulinzi na usalama wa maisha ya raia na mali zao’’,anasisitiza Mndeme.

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012,Mkoa wa Ruvuma ulikuwa na watu 1,376,176 kati yao wanawake 708,207 na wanaume 668.684.Mkoa wa Ruvuma una tarafa 24,kata 173,vijiji 552 na mitaa 95.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Serikalini toka Manispaa ya Songea

Septemba 11,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa