• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

POLISI Ruvuma yakamata silaha tano na TV za wizi

Tarehe ya kuwekwa: May 29th, 2019

JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limeendelea kufanya misako mbalimbali na kupata mafanikio ikiwemo silaha tano aina ya gobore na mtutu mmoja zilizokuwa zinatumika kinyume cha sheria.Kamanda wa Polisi mkoani  ACP Simon Maigwa  amesema silaha hizo zilisalimishwa katika ofoso za vijiji mbalimbali kuhofia kukamatwa na polisi na kwamba katika msako huo Polisi walifanikiwa kukamata televisheni nne ambazo ni homebase inchi 32,boss inchi 32 na mr UK nchi 24 pamoja na aborder inchi 24 zote ziliibiwa katika maeneo mbalimbali.

"Natoa wito kwa wananchi kufika kwenye vituo vyetu vya polisi kutambua mali hizo kwa wale waliobiwa,Jeshi la polisi pia tumefanikiwa kukamata jumla ya lita 60 za pombe ya moshi yaani gongo na watuhumiwa wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria'',alisema Kamanda Maigwa.

Kamanda huyo wa Polisi mkoani Ruvuma anatoa rai kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma kujiepusha na vitendo ambavyo ni kinyume cha sheria za nchi kwa kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kufanya msako endelevu kuhakikisha kuwa  wanakamatwa wote wanaovunja sheria za nchi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.

Hata hivyo Kamanda Maigwa amewashauri wananchi kutojichukulia sheria mkononi endepo kunakuwepo na migogoro yoyote ndani ya jamii ni vema kutafuta njia sahihi ya kutatua migogoro hiyo na kwamba amewashukuru wananchi wote ambao ni raia wema kwa jitihada zao za kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi kuhusu uharifu na waharifu kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama ni la kila mwananchi.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Serikalini

Mei 29,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa