• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RAS Ruvuma awataka watumishi kufanyakazi kwa uadilifu

Tarehe ya kuwekwa: October 21st, 2018

KATIBU Tawala mkoa wa Ruvuma Prof.Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa Umma Mkoa wa Ruvuma kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kuharakisha maendeleo na kutoa Huduma bora kwa Wananchi.

Ameyasema hayo katika ukumbi wa kassim Majaliwa uliopo katika shule ya Sekondari Mbamba-bay wakati akiongea na Watumishi wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati akiwa katika Ziara ya Siku moja ya kikazi Wilayani hapa.

Shemdoe alifafanua kuwa anawataka watumishi wa mkoa huu wafanye kazi kwa bidii na kutoa huduma bora kwa wananchi ili Ruvuma iwe mfano wa kuigwa na isiwe mwishoni inapotajwa kitaifa lengo iwe katika kumi bora na wakuifanya iweze kuvuma kitaifa, ni watumishi wote wa mkoa huu wa Ruvuma kwa kila mtu kuwajibika kwa nafasi yake.

“Niwashukie watumishi wenzangu wa mkoa huu wa Ruvuma na Nyasa kwa ujumla kuwa lengo la Serikali ya awmu ya Tano ni kutoa huduma bora kwa wananchi .Hivyo sisi ni watumishi ambao tumepewa jukumu la kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa kila mtu kuwajibika vizuri katika nafasi yake kwa kutoa huduma bora mahali pa kazi.Ninahitaji tuwe kumi bora katika shughli zote za Serikali”.

Aliongeza kuwa watumishi wanatakiwa kufanya kazi kwa uadilifu huku wakishirikiana kwa upendo ili kuweza kutatua changamoto wanazozipata kwa ushirikiano kati ya wakuu wa idara mkurugenzi na wakuu wa idara kwa kusimamia uadilifa,uwajibikaji na kushirikiana kujibu hoja za Ukaguzi ambazo zipo katika Halmashauri na eneo la kazi.

“Tuwe na moyo wa upendo kwa kupendana katika kutekeleza majukumu yetu mahali pa kazi kwa ngazi zote kanzia juu mpaka chini ili tuweze kuendelea”

PRO.Shemdoe alibainisha kuwa pamoja na shughuli zingine tunatakiwa kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kikamilifu ili iweze kuwanufaisha wananchi wote kwa ujumla na kupiga vita Rushwa katika maeneo ya kazi.

Aidha aliwaagiza wakururugenzi kushirikiana na wakuu wa idara na watumishi wa ngazi zote ili waweze kufanya kazi kwa ushirikiano na kufikia malengo waliyojiwekea katika kutekeleza majukumu yao.

IMEANDALIWA NA

NETHO C.SICHALI

AFISA HABARI

NYASA DC

0783662558

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa