• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mndeme aagiza wananchi kujiunga na CHF

Tarehe ya kuwekwa: September 5th, 2018

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewashauri wananchi  mkoani Ruvuma kujiunga na mfuko wa Bima ya afya ya Jamii CHF ili kuwa na uhakika wa kupata matibabu wanapougua.

Mndeme ametoa ushauri huo wakati anatoa Taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2015 kipindi cha Julai, 2017 hadi June ,2018 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho,Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Profesa Riziki Shemdoe,Wakuu wa Wilaya zote tano za Mkoa wa Ruvuma,watalaam ngazi ya Mkoa,viongozi na wajumbe mbalimbali wa CCM Mkoa wa Ruvuma

Mndeme ameagiza watendaji wa Halmashauri zote nane mkoani Ruvuma kuendelea na zoezi la uhamasishaji ili wananchi wajiunge na waendelee kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya.

“kiasi cha fedha zinazochangiwa kwa kila familia au Kaya ni shilingi elfu kumi kwa Halmashauri zote, isipokuwa Halmashauri ya Wilaya Mbinga ambayo kwa mgonjwa wa kulazwa anachangia Shilingi elfu ishirini na shilingi elfu kumi kwa wagonjwa wa nje” amesisitiza  Mndeme.

Sekta ya Afya mkoani Ruvuma bado inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo kiwango cha maambukizi ya virusi vya UKIMWI cha asilimia 5.5 wakati kiwango cha Taifa cha asilimia 4.7 na pia kutokuwepo kwa  vituo vya kutosha vya huduma za afya.

Imetolewa na Viktoria Dejembi

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Manispaa ya Songea

Septemba 5,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa