• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC MNDEME AMESEMA, UDANGANYIFU WA MITIHANI HAUNA NAFASI KATIKA TAIFA LETU.

Tarehe ya kuwekwa: December 18th, 2020

Tamko hilo limetolewa katika kikao cha kutangaza orodha ya matokeo ya wanafunzi  ambao walifanya mtihani wa darasa la saba mnamo  tarehe 07 hadi 08 oktoba mwaka  huu na kufaulu mtihani huo na kuelekea kidato cha kwanza 2021.

Kikao hicho wameshirikisha Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala Wilaya, Wakurugenzi, Wenyeviti wa Halmashauri zote, maafisa elimu, pamoja na wakuu wa Sekondari kilichofanyika leo katika ukumbi wa manispaa ya Songea.

Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Stephene  Mashauri Ndaki  ndiye aliyeongoza kikao hicho ambapo alisema matokeo haya yametokana na watoto ambao walisajiliwa kuanza darasa la kwanza mwaka 2014 ambao walisajiliwa 429,00  lakini, watoto walioweza kusajiliwa ili kufanya mtihani mwaka huu ni 34,976 kati ya hao waliofanya mtihani 34,554 sawa na asilimia 98.79% ya watoto waliofanya mtihani huo.  kati ya hao waliofaulu ni 27,135  ambapo wavulana walikuwa 12,796 na wasichana 14,336 sawa na 78.52%  ya ufaulu.

Mashauri alisema “ ufaulu wa mwaka huu sehemu kubwa ya Halmashauri umeshuka  isipokuwa katika Halmashauri mbili ambayo ni Nyasa mwaka huu wamefaulu kwa 83.2%  ukilinganisha na  78.8 mwaka  uliopita na kufanya upande kwa 4%.

Halmashau nyingine iliyofanya vizuri ni Mbinga ambapo ufaulu  wa mwaka huu 79.05  ukilinganisha na ufaulu 77.66 mwaka uliopita nakufanya upande kwa asilimia 1.4%.

Akizitaja Halmashauri zilizoshuka ni pamoja Manispaa ya Songea ambayo kwa mwaka huu ufaulu wake 84.7% ukilinganisha na mwaka uliopita 90.37% na kushuka kwa asilimia 6.17%.

Mgeni rasmi katika kikao hicho alikuwa Mkuu wa Mkoa Christina Mndeme ambaye alianza kwa kutoa shukrani kwa Serikali kuanzisha mfumo wa kieletroniki kwa ajili ya kusaidia kuchagua majina ya wanafunzi  na mfumo huo umesaidia kuchambua kwa haraka Zaidi.

Mndeme alisema Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa 9 tisa iliyofanikiwa kuwapangia shule watoto wote waliofaulu mtihani wa darasa la saba 2020,  alitanabaisha kuwa Elimu ni kipaumbele ndani ya Mkoa wa Ruvuma na aliwapongeza viongozi wa Halmashauri zote kwa kuondoa upungufu wa madarasa kwani watoto wote  wamepangiwa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza .

Aliongeza kuwa pamoja na pongezi hizo, bado wanahitaji kuongeza miundombinu ya madawati, viti na meza katika shule za sekondari na msingi  ili kwenda pamoja na ongezeko la wanafunzi baada ya kuanzisha mpango wa elimu bila malipo mwaka 2015.

Amezitaka Halmashauri zote zitumie takwimu zilizopo za wanafunzi  kwa kukusanya matokeo ya ufaulu wa wanafunzi na kupanga bajeti sanjali na mkakati wa kujenga vyumba vya madarasa na miundombinu mingine kabla ya matokeo ya darasa la saba.

Amewaasa watumishi wa kada ya elimu kutimiza wajibu wao na waache  kunenepesha ng’ombe siku yamnada ili kuongeza ufaulu, waache tabia udanganyifu katika mitihani  hauna afya katika Taifa letu.” Mndeme alisisitiza”.

Mwisho amewata wazazi na walezi wote kuhakikisha wanawapeleka watoto wao shule na kwa yeyote atakayekiuka achukuliwe hatua za kisheria.

IMETAYARISHWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

18. disemba 2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Mbunge Akabidhi Kompyuta 6 na Kufadhili Ukarabati wa Ofisi za Polisi
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa