• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AIPONGEZA MANISPAA YA SONGEA KUPATA HATI SAFI.

Tarehe ya kuwekwa: June 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban  Thomas ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Songea kwa kupata Hati ya Kuridhisha ya  Hoja ya Ukaguzi katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo ambayo imetokana na uwajibikaji na usimamizi wa wataalamu katika kujibu hoja za ukaguzi wa hesabu za Serikali.

Katika kipindi cha mwaka 2019/2020 Manispaa ya Songea ilipata Hati inayoridhisha, mwaka 2020/2021 Manispaa ya Songea ilipata Hati inayoridhisha na mwaka 2021/2022 Manispaa ya Songea imepata Hati inayoridhisha.

Hayo yamejili katika Baraza la Hoja za Ukaguzi lililofanyika leo  tarehe 22 Juni  katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambayo imehudhuriwa na Madiwani, Wataalamu mbalimbali, viongozi ngazi ya Mkoa na Wilaya katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kupokea taarifa za ya utekelezaji wa mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Akizungumza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas amewataka Wataalamu kuhakikisha wanatoa ushirikiano katika  kujibu Hoja zote Ukaguzi kwa wakati na  kuzipatia utatuzi.

Kanal. Laban ametoa wito kwa Waheshimiwa Madiwani, Maafisa watendaji wa kata na mitaa wahakikishe wanasimamia Miradi ya Maendeleo ambayo inatekelezwa na Halmashauri pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato.

Ametoa Rai kwa wataalamu kuhakikisha wanafuatilia  madeni ya vikundi vyote ambavyo vinadaiwa  ili waweze kurejesha mikopo na hatimaye  kutoa furusa kwa wanavikundi wengine.

 Naye Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Komredi Oddo Mwisho ametoa pongezi kwa kupata Hati inayoridhisha pamoja na Uwajibikaji wa viongozi  katika kusimamia Miradi ya Maendeleo ambayo inaendelea kujengwa. “Alipongeza.”

Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Kapenjama Ndile amesema Ukuaji wa Uchumi katika Sekta ya madini umepelekea ukuaji wa pato la Taifa ambapo  Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa Mikoa mitatu  ambayo inaongoza katika uchangiaji wa pato la Taifa kupitia madini.

Kwa upande wake Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano amewataka Madiwani, pamoja na Maafisa watendaji wa Kata na Mitaa  wahakikishe wanasimamia ukusanyaji wa mapato ili kufikia lengo la 100% lililowekwa na Halmshauri.

Imeandaliwa na;

Amina Pilly;

Kitengo cha MawasilianoSerikalini










Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa