• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AJIANDIKISHA KITUO CHA OFISI YA KATA NAMBA 1

Tarehe ya kuwekwa: October 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Ahmed Abbas Ahmed amewataka wananchi Mkoani Ruvuma kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha kwenye Orodha ya Majina ya Wapiga Kura.

Wito huo umetolewa tarehe 11 Oktoba 2024 akiwa kwenye kituo cha uandikishaji cha Ofisi ya Kata namba 1 kilichopo kata ya Mjini baada ya kufanya uzinduzi wa zoezi la uandikishaji.

Kanal Abbas amesema, anampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. Samioa Suluhu Hassan kwa kukuza Demokrasia kwa nchini ambapo upigaji kura na uandikishaji ni ishara yab  Demokrasia ambayo yeye anaikuza  ndani ya Nchi.

Alisema “amekuja kwa ajili ya kujiandikisha pia ameshuhudia umakini wa waandikishaji wa zoezi hilo, ambapo aliweza kuulizwa majina, umri ambapo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuanzia tarehe yakuanza uandikishaji tarehe 11 mwezi Oktoba hadi 20 OKtoba 2024”.


Kwa upande wake Msimamizi wa Uchaguzi Manispaa ya Songea, Wakili. Bashir Muhoja alisema Manispaa ya Songea ina jumla ya wananchi 156,000 ambao wanatakiwa kujiandikisha kwenye vituo 190 kwa mitaa 94, na kata 21.

Aliongeza kuwa, Manispaa ya Songea inaendelea na uhamasishaji kwa mitaa mbalimbali ambapo pamoja na hiyo tunashirikiana na vyombo vya habari ambapo tumeingia mkataba wa kuhamasisha kwa radio 4 ambazo zitatangaza kwa siku 50 kati ya hizo siku 30 zitalipwa na siku 20 ni muda wa ziada.

Amewataka wananchi kwenda kujiandikisha kwenye vituo vilivyopo kwenye mtaa husika ili waweze kupata haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa