• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AMEWATAKA WAZAZI KUZINGATIA MALEZI BORA YA FAMILIA.

Tarehe ya kuwekwa: May 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas amewataka wazazi  kudumisha  upendo  na mshikamano ndani ya familia ili kujenga  malezi bora katika jamii.

Niwajibu wa kila mzazi kujikita katika usimamizi wa malezi  ambayo ni msingi ikiwemo na kumjali mtoto katika mahitaji yake ya msingi , kumlinda mtoto dhidi ya ukatili pamoja na kuzungumza na mtoto mara kwa mara ili kujua changamoto zinazomkabili na maendeleo yake.  

Hayo yamejili  katika mahadhimisho ya siku ya familia duniani , ambayo  hufanyika kila ifikapo  Mei 15 kila mwaka,  ambayo kimkoa yamefanyika  katika Bustani ya Manispaa ya Songea  na kuhudhuliwa na wataalamu mbalimbali,  wakiwemo na wadau, viongozi wa vyama vya siasa,  viongozi wa wadini pamoja na wananchi mbalimbali kwa lengo la kukumbusha jamii juu ya umuhimu wa malezi bora ngazi ya Familia.


Kanal. Laban amesema  “ Mustakabali wa  malezi bora ya watoto yanatakiwa kusimamiwa na  wazazi au walezi  kwa kuzingatia maadili mema ili kuepusha migogoro ambayo yanaweza kusababisha familia  kusambaratika na kuacha  watoto bila uangalizi mzuri  ambayo hupelekea  watoto kukosa huduma muhimu”. Alisistiza.

Amewataka wataalamu wote  kuandaa makongamano katika ngazi za Serikali za Mitaa kwa  lengo la kutoa Elimu ya ukatili dhidi ya watoto  kwa kuwashirikisha viongozi wa dini ili kuondoa changamoto  na mmomonyoko wa maadili katika jamii ikiwemo ndoa za jinsia moja, madawa ya kulevya pamoja na ujambazi.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa