• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AMEZITAKA NGO'S KUTOA TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI

Tarehe ya kuwekwa: June 30th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas  amezitaka NGO’S (Mashirika yasiyo ya kiserikali kuhakikisha wanaweka uwazi wa taarifa ya mapato na matumizi katika shughuli zote zinazotekelezwa katika Halmashauri na Mikoa ili kuondoa malalamiko na kujenga imani katika jamii.

Hayo yamebainishwa tarehe 28 Juni 2023 katika kikao kazi cha tathimini ya utekelezaji wa shughuli za Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea  na kuhudhuriwa na wadau wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali pamoja na viongozi ngazi za Wilaya na Mkoa kwa lengo la kuona mafanikio na changamoto  wanazokutana nazo pamoja na kuwasilisha taarifa za utekelezaji kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

Kanal. Laban alisema ni wajibu wa NGO’S kuandaa bajeti ya vikao  pamoja na kushiriki matukio ya kitaifa ikiwemo na  Siku ya Mtoto wa Afrika, Siku ya Familia, Siku ya Ukimwi Duniani, ili kuleta ushirikishwaji katika jamii.

“Amewataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mkoani Ruvuma kuhakikisha wanalipa stahiki za  watoa huduma na wasimamizi wote  katika Halimashauri kwa wakati ili kuondoa malalamiko pamoja na kuwasilisha taarifa  za utekelezaji kwa msajili ngazi ya Halmashauri na Mkoa.

Kwa upande wake Msajili Msaidizi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mkoa wa Ruvuma  Xsaveria Mlimira  alisema Mkoa wa Ruvuma una jumla ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali 166 ambayo yanajishughulisha na sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo na Afya, Elimu Kilimo na nyinginezo.

Mlimila alisema Miongoni mwa mafanikio katika Sekta ya Afya katika eneo la UKIMWI hadi kufikia Machi 2023 katika 95 ya kwanza Mkoa umefikia 113,1%, ya Pili  Mkoa umefikia 98.3%, na ya tatu 95.9%.

Mafanikio katika Sekta ya kilimo kuanzia mwaka 2019 hadi 2023  zaidi ya wakulima wadogo 10,000 kwenye vikundi zaidi ya 300, katika vijiji 205 kwenye kwenye kata 60 za Halmashauri 6 katika Mkoa wa Ruvuma wamefikiwa moja kwa moja na huduma zinaendelea kutolewa.

                                                                                                                        

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.  





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa