• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC RUVUMA AONGOZA MAANDAMANO YA MEI MOS KATIKA UWANJA WA MAJIMAJI MJINI SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: May 1st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanal. Laban Thomas  amewataka watumishi wa Umma Mkoani Ruvuma kuacha tabia ya Uchonganishi maofisini ambayo hupelekea kuleta migogoro baina ya Watumishi na kuathiri utendaji wa kazi.

Kauli hiyo imetolewa leo kwenye maadhimisho ya Mei Mos ya Kimataifa ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 01 Mei  ambayo  Kimkoa imefanyika katika Uwanja wa Majimaji Mjini Songea.

Kanal. Laban amewataka waajiri wote kutatua changamoto zilizo chini ya uwezo wao ikiwemo na malipo ya nauli za likizo, malipo ya posho za wajumbe wa baraza la wafanyaki na stahiki mbalimbali za madai ya watumishi wa umma.

Ametoa rai kwa waajiri wa Taasis zisizo za kiserikali kuhakikisha wanawaruhusu watumishi wao wawze kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi ambavyo vipo kwa mujibu wa sheria.    

Amesema Sambamba na utekelezaji  majukumu ya kiutumishi Serikali ya awamu ya Sita inaendelea na mikakati ya kuboresha miundombinu ya elimu msingi kupitia mradi wa BOOST ambapo kwa Mkoa wa Ruvuma imepokea zaidi ya Bil. 7 kwa ajili ya   ujenzi wa madarasa ya shule za msingi.

Kwa upande Willy Luambano Mwenyekiti wa TALGWU Mkoa wa Ruvuma amesema anatoa shukrani za dhati kwa Serikali kwa kutatua baadhi ya changamoto za watumishi ikiwemo na kupandisha madaraja kwa watumishi.

Willy aliongeza  kiuwa kupitia ajira mpya zilizotolewa ziatsaidia kuongeza wanachama wapya ambapo   TALGWU imsajili jumla ya wanachama 3229 kati ya hao watumishi wanachama walioteuliwqa kupakea ufanyakazi Bora ni 106.

KAULI MBIU YA MWAKA 2023;  MISHAHARA BORA NA AJIRA ZA STAHA NI NGUZO KWA MAENDELEO YA WAFANYAKAZI WAKATI NI SASA..

Imeandaliwa na; 

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINII




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa